Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 16,036
Watu weusi tuko located kwenye bara la africa tena kusini mwa jangwa la sahara,.kwa maana hii nikwamba ,watu weus tuko idad ndoogo kabsa ya binadam ukilinganisha na watu weupe,na kadir siku znavoenda ndio inazid pungua,
Swali1.kuna uwezekano watu weus ndio viumbe vikongwe kabsa ulimwengun na kwa dhana hyo ndo tunaenda potea kabsa kama walivopoteaga dinosaurs.
2.kwakua watu weus ni wakongwe sana dunian yaan ni wakale zaid kuliko watu weupe,je kwa hali ya kawaida sio kwamba weus ndo wangetakiwa kua wameimaster dunia vilivyo,kimaendeleo ya uchum,siasa, upeo n.k ,kama swal la kwanza ni correct.
3.au laa ngozi nyeupe ambayo ime dominate dunia ndio watu wa kale zaid kuliko weusi na sis weus ni species mpya kabsa,na vice versa is true kwamba wao species yao ndo inapungua nasis ndo tunaongezeka na kwa hvo badae tuta dominate dunia na kua na maendeleo kama wao sasa.
4.kwanin kuna mafundisho kwamba bnadam alitokea kwenye nyani aka develope had now a modern man,na kwamba fuv la kale zaid dunian lipatikane africa.kwa weusi.
Ombi...jamii forum mim ni great thinker,sasa nashangaa had leo hamnipi hyo go ahead ya hlo jukwaa..ndomana mnanifanya sometime niandike vtu vy ajab,heb nifikirien jamen..kwanza inabid mnipandishe daraja,mi nipo hum kitambo sana
Swali1.kuna uwezekano watu weus ndio viumbe vikongwe kabsa ulimwengun na kwa dhana hyo ndo tunaenda potea kabsa kama walivopoteaga dinosaurs.
2.kwakua watu weus ni wakongwe sana dunian yaan ni wakale zaid kuliko watu weupe,je kwa hali ya kawaida sio kwamba weus ndo wangetakiwa kua wameimaster dunia vilivyo,kimaendeleo ya uchum,siasa, upeo n.k ,kama swal la kwanza ni correct.
3.au laa ngozi nyeupe ambayo ime dominate dunia ndio watu wa kale zaid kuliko weusi na sis weus ni species mpya kabsa,na vice versa is true kwamba wao species yao ndo inapungua nasis ndo tunaongezeka na kwa hvo badae tuta dominate dunia na kua na maendeleo kama wao sasa.
4.kwanin kuna mafundisho kwamba bnadam alitokea kwenye nyani aka develope had now a modern man,na kwamba fuv la kale zaid dunian lipatikane africa.kwa weusi.
Ombi...jamii forum mim ni great thinker,sasa nashangaa had leo hamnipi hyo go ahead ya hlo jukwaa..ndomana mnanifanya sometime niandike vtu vy ajab,heb nifikirien jamen..kwanza inabid mnipandishe daraja,mi nipo hum kitambo sana