Element za udini hizi, kwahiyo mikoa yenye wakristo wengi haijastaarabika, hebu hiyo kanuni itumie pia kwenye nchi, anza nchi zenye waislam wengi.........Mikoa yenye waislamu wengi imestaarabika.
Huwezi kusikia mambo ya hovyo Lindi, Zanzibar, Tanga n.k
Ukisikia mambo ya kuuana basi waasisi ni wageni.
Hizo nchi zilizoendelea kila kukicha watu wanaachana kama upupu.Cha kwanza ni mfumo dume,pili ni ukosefu wa elimu na tatu ACHA UDINI maana nchi zinazoongoza kwa kustaraabika,maendeleo,tech etc sio za kiislam
Element za udini hizi, kwahiyo mikoa yenye wakristo wengi haijastaarabika, hebu hiyo kanuni itumie pia kwenye nchi, anza nchi zenye waislam wengi.........
1. Kwa sababu idadi ya waPemba ni sehemu ndogo sanaaaaa ya population ya Jamuhuri ya Tz 2) Wapemba wanauana kwa majini/mashetani kuliko silaha.Habari wadau,?
Binafsi nina swali najiuliza sana. Why sijawahi kusikia wanandoa wameuana zanzibar ama pemba?
Je huko hakuna usaliti ama ndoa zao zina miujiza ya ziada...
Bara kuna kesi nyingi hasa za mume kumuua mkewa ama kumjeruhi.. ila zanzibar why hapana?
Ni kweli hata kibiti mtwara mpakani ni ustaarabu mtupuMikoa yenye waislamu wengi imestaarabika.
Huwezi kusikia mambo ya hovyo Lindi, Zanzibar, Tanga n.k
Ukisikia mambo ya kuuana basi waasisi ni wageni.
Mwaka jana tukio lilitokea znz jamaa kamchinja mkewe chumbani, ila znz matukio machache sababu niHabari wadau,?
Binafsi nina swali najiuliza sana. Why sijawahi kusikia wanandoa wameuana zanzibar ama pemba?
Je huko hakuna usaliti ama ndoa zao zina miujiza ya ziada...
Bara kuna kesi nyingi hasa za mume kumuua mkewa ama kumjeruhi.. ila zanzibar why hapana?