Kwanini nguo inageuzwa wakati wa kufuliwa?

Kwanini nguo inageuzwa wakati wa kufuliwa?

Jiwedogo

JF-Expert Member
Joined
May 23, 2017
Posts
2,811
Reaction score
4,097
Amani iwe kwenu.

Kama nilivyo anza na kichwa cha habari mwenye ujuzi ama ufahamu wa kwanini nguo ugeuzwa ndani nje wakati wa kuanika baada ya kufuliwa?

Nawakilisha
 
Amani iwe kwenu.

Kama nilivyo anza na kichwa cha habari.... mwenye ujuzi ama ufahamu wa kwanini nguo ugeuzwa ndani nje wakati wa kuanika baada ya kufuliwa?

Nawakilisha
Inageuzwa muda wa kuanika..!
 
Kwanza ni sababu ya kuzuia nguo isipauke saaana sababu ya jua, pili kufanya nguo isichafuke wakati wa vumbi
kama ni kupauka, kwani nguo inapo pigwa pass haichangii kupauka?

na kama ni kuzuwia uchafu/vumbi, kwanini hata tukitumia machine ya kufua na kukausha bado tunageuza?
 
Iweze kutakata inapofuliwa maana sehemu ya ndani ndio yenye uchafu zaidi na mikono au mashine huiguza nguo zaidi sehemu za juu.
Hasa makwapani na sehemu zilizopindwa.
Ukibishia jaribu
 
Ukitaka kujua sababu kwanin watu wanafanya hvyo mkuu, fanya utafiti mdogo nguo chache uwe unazigeuza na chache usizigeuze.
 
Kwanza wakati wa ufuaji lazima ufue kwa ndani..kwa mfano..kwenye pindo za miguu ya surual, pindo za mashati, skirt/magaun..n.k. kwasababu maeneo hayo hushafuka zaidi adha kutokana na mafuta yanayopakwa mwilini, vumbi..jasho..n.k. general sehemu za ndan ndio hushafuka zaid..nje ni vumbi tu. Hupaswi kugeuza wakat wa kuanika bali wakat wa kufua.
 
Kwanza ni sababu ya kuzuia nguo isipauke saaana sababu ya jua, pili kufanya nguo isichafuke wakati wa vumbi
Lakini si hata kwa ndani pia inachafuka maana kwa ndani ndo baadae hugusa mwili hivyo ingeuwa vyema kama ingeanikwa bila kugeuzwa ili uchafu ubaki kwa nje
 
Kwanza wakati wa ufuaji lazima ufue kwa ndani..kwa mfano..kwenye pindo za miguu ya surual, pindo za mashati, skirt/magaun..n.k. kwasababu maeneo hayo hushafuka zaidi adha kutokana na mafuta yanayopakwa mwilini, vumbi..jasho..n.k. general sehemu za ndan ndio hushafuka zaid..nje ni vumbi tu. Hupaswi kugeuza wakat wa kuanika bali wakat wa kufua.
Nimekubali sababu zako zote ulizotoa pamoja na kwamba mie mwenyewe nimelelewa kimazoea kugeuza nguo
 
Hiyo ni kufua kwa kiswahili lakini ukitumia washing mashine....vyovyote vile hata usipogeuza haina shida...na huwa unaigeuza sababu ya vumbi tu....wakati wa kuanika
 
Back
Top Bottom