Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Ambalo hilo vumbi baadae unakuja kulivaa kwenye mwili tofauti na yule asiegeuza ambae akija kuvaa vumbi linabaki kwa njeHiyo ni kufua kwa kiswahili lakini ukitumia washing mashine....vyovyote vile hata usipogeuza haina shida...na huwa unaigeuza sababu ya vumbi tu....wakati wa kuanika
Kwani tunavaa nguo iwe safi nje au ndaniAmbalo hilo vumbi baadae unakuja kulivaa kwenye mwili tofauti na yule asiegeuza ambae akija kuvaa vumbi linabaki kwa nje
Si ndio maana nguo imefuliwa kuuondoa huo ukurutu ambapo ikikauka inapigwa pasi (au sijakuelewa vizuri)Vp kubusu ukurutu unao natia kwenye nguo kwa upande wa ndani?
In other words embu nieleweshe maana life inakaba mpaka ufanisi wa ubongo umepunguaKweli haujaolewa kabisa mkuu
Haya mambo nilijifunza dalasa la 3,4 hivi siku hizi hakuna somo la sayansi kimuKwanza ni sababu ya kuzuia nguo isipauke saaana sababu ya jua, pili kufanya nguo isichafuke wakati wa vumbi
Inatakiwa uhakikishe iwe safi ndani zaidi ambapo ndio panagusa mwili ila kwa uzoefu wengi unaangalia zaidi usafi wa njeKwani tunavaa nguo iwe safi nje au ndani
Ila usihofu na hiyo sentence tata..I mean ubongo wangu sio wakoSawa
Usijali nilihisi kama nimeandika vibaya ...kuwa na amani mkuu..enyoy your saturdaySamahani sana mkuu....[emoji120]
Ebu naomba unisamehe sana kwa makosa ya kiuandishi.
Wewe ni kati ya wachache ninao waheahimu sana aiseeeee