Mbavu mbili
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 1,457
- 874
Wanajaribu ku discourage suala la upotezaji kadi, ili uwe makini na responsible usipoteze kadi yako kizembe zembe. Ingekua ni bure kwa mfano, kibinadamu umakini ungekua mdogo kwa sababu unajua ku replace sio ishu. So, wanaweka hiyo fees ili iwe kama vile ni adhabu pale unapopoteza kadi. Wanakuadhibu kwa uzembe wako wa kupoteza kadi.NHIF wamekuwa wakitoza tsh 20000 kubadili vitambulisho ambavyo kimsingi walipaswa kuvitoa bure au kwa gharama nafuu zaidi tofauti na ulivyo Sasa.
Umeibuka mtindo wa kufungiwa kadi bila taarifa kwa mteja, kisa kadi Ina uchakavu.
Kwa gharama ya 20000 kwa kadi moja, Ina maana kwa familia ya wanufaika watano watahitaji Tsh 100000 kufanya mabadiliko ya kadi.
Kwa Nini gharama hizo tunacover sisi wachangia huduma na Siyo mfuko wa NHIF?