Kwanini ni Mbowe na sio Lissu na kwanini CHADEMA haifi?

I'm

Hapo kwenye watumishi /watu wasiojulikana muongeze na Mrema
 
😂 😂 😂 Aisee sikujua kama Mbowe ana machawa wengi kiasi hiki?

Leo hii Lisu anatumika na ccm? Alafu mnataka ccm itoke madarakani?

Mqfiiii
Kumbe na wewe utamani ccm itoke nilikuwa sijui. Najua gu uko huko sababu ya maslahi binafsi
 
Andiko reeeefu ila pointi ni moja tu kumsifia mbowe.
Better to be neutral.
 
..si tu kuamini ninajua kwa vile alivyo Lisu hata bila rafu za uchaguzi hawezi kushinda uchaguzi wa Rais.

..sasa rafu za uchaguzi za nini?

..kwanini Ccm wanavuruga chaguzi ambazo wana uwezo wa kushinda kihalali?

..wakati mwingine unaweza kudhani Ccm wamelaaniwa kutokana na mambo ya kijinga wanayoyafanya.
 
Zilikuwa za magumashi ili mimi na wewe tukifunguliwa isionekane kuwa ni mimi na wewe tu mbona na fulani kafunguliwa? Hii inaitwa kupoteza Maboya.
Tanzania tunasafari ndefu sana mtu kachangiwa hadi kulipa faini unasema magumashi yote hii ni kwa sababu kasema hamsupport lisu

Kila mtu anahaki ya kumsupport amtakaye sio mtu akimsupport mtu usiyempenda unaanza kumzushia mambo ya uongo

Kama lisu anajiamini kweli aanzishe chama chake tuone atafika wapi
 
Swala sio kutomsapoti swala nj hoja alizotoa za kutonsuport usiwe narrow minded.

Mtu mwenye akili unaweza kuweka hoja ya fedha mpaka unasema fedha za Abdul?
Mbele ya watu wanaopotea na kuuawa? Tukisema Yerricko akipewa pesa akasaliti watu tutakuwa tumekosea?
 
Tulia Mbowe ana all characteristics of a good leader.... Au njoo basi wewe uchukue chama......
 
Sawa njoo uchukue chama uwe kiongozi halafu yote hayo uliyoyasema yaishe
 
We jamaa Una akili ndogo Sana either umekuwa Chawa wa Mbowe Kwa kufaidika na mambo fulani kutoka kwake .

Ni kweli TL haifai je hamna MTU mwingine wa kugombea au Kuwa mwenyekiti wa Chadema?

Tujaribu kufikiri Kwa kina
 
Bwana mdogo kuna mambo ambayo huelewi, hakuna asiyetambua mchango wa Mbowe ndani ya CDM , ila nyakati za sasa Siasa za kistaarabu anazofanya Mbowe ni ngumu kui challenge CCM kwa wakati huu. Muda ni ukuta na Muda tuliopo wakati unamuhitaji Lisu zaidi kuliko Mbowe.


Acheni Uchawa wa kulinda watu unless mnataka CDM isipige hatua kutoka ilipo. Mbowe amechoka ni wakati sasa awapishe wengine
 
Mbowe kwa kipindi chote alichokuwa mwenyekiti chadema amefanya kipi cha maana?! Tunataka kiongozi mwanaharakati mwenye misimamo iliyotukuka. We need to reform we need to clear caches to start a fresh.Mbowe Thank You For Your Service Its Enough.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…