Kwanini ni muhimu kwenda na fundi akague unaponunua gari? (mambo ya muhimu ambayo watu hawayafanyi wanaponunua magari yao)

Kwanini ni muhimu kwenda na fundi akague unaponunua gari? (mambo ya muhimu ambayo watu hawayafanyi wanaponunua magari yao)

Mkuu, Ninachokifahamu ni kwamba unapomwaka ATF kwa kufungua tu ile bolt ya chini kule kwenye Oil pan kitakacho toka pale huwa ni 60% tu ya ATF yote. Kuna ATF ambayo huwa inabaki kwenye Oil pan, Valve Body na Torque converter...
Ukitaka ku drain yote unafanyaje
 
Back
Top Bottom