The Conscious
JF-Expert Member
- Mar 18, 2021
- 740
- 1,218
Wapi huko huwa wanaanza kumtambua mke kisha afuate mume ?kwa nini hua mnasema mke na mume na hamuanzi wale ni mume na mke
it is phonology hapo ndio inafanya sound ya simba ianze
Huu ndiyo utaratibu ninao ufahamu huwa tunaanza Baba anafuata mamajiulize pia kwa ni wanaanza na baba inafuatiwa na mama yani baba na mama
Heshima za kiafrica huanza kutambulishwa Baba ndio mama anafata kutambulishwa.Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja swala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja simba kisha Yanga.
Yani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yani lazima Simba aanze kisha Yanga atafuata.
Hili lipoje huko kwenu na ni nini sababu ya hili kutokea.
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Baba na Mama !Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja swala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja simba kisha Yanga.
Yani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yani lazima Simba aanze kisha Yanga atafuata.
Hili lipoje huko kwenu na ni nini sababu ya hili kutokea.
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Haswa.A B C D E F............... S................. Y Z
just a matter of alphabet
Jina halisi ni Young Africans hilo la Yanga limetokana na watu wa zamani kushindwa kutamka maneno ya kingereza na kuishia kuyaharibu. Yapo maneno mengi tu yaliyobadilishwa kutokana na kushindwa kutamka.Hivi jina halisi la Yanga na Yanga Africa au Younger African.
Naomba mnijuze wajumbe
Kwani katika hali ya kawaida kabisa! Kati ya mtoto na mkubwa/mwenye cheo na kapuku! Unaanza kumtambulisha nani? Nani ataanzwa kwwnza kutajwa, na nani atawekwa mwishoni?Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja swala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja simba kisha Yanga.
Yani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yani lazima Simba aanze kisha Yanga atafuata.
Hili lipoje huko kwenu na ni nini sababu ya hili kutokea.
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
Ni bibi na bwana'ake.Nimechunguza na kutambua kuwa watu wengi linapokuja swala la mechi ya watani wa jadi basi wengi wataanza kuitaja simba kisha Yanga.
Yani leo ni mechi ya Simba na Yanga. Yani lazima Simba aanze kisha Yanga atafuata.
Hili lipoje huko kwenu na ni nini sababu ya hili kutokea.
Sent from my SM-N976N using JamiiForums mobile app
ntakupasua hilo bichwa futa kauli yako harakaKwasababu Simba mabingwa ndio maana wanaanza
young African ndio jina halisi,yanga ni nick name imbayo imejitokeza tu nafikiri matamshi ya watu aidha baada yakushindwa kutaja vyema "young" jambo hili hujitokeza sana ktk lugha ni kama utohoaji wa maneno tu!.Hivi jina halisi la Yanga na Yanga Africa au Younger African.
Naomba mnijuze wajumbe
Wewe kwa nini hujiulizi wanandoa inaanza kutajwa mke then mume yaan kwenye story utaskia wale ni mke na mume.
Nazan ni masuala ya linguistics
Msiba wa mamako?Tupo msibani
Oyaa nimecheka kinyama πππntakupasua hilo bichwa futa kauli yako haraka
tutakutana kiwanjani utafuta tu...πOyaa nimecheka kinyama πππ
Kauli sifuti kama una hasira sana kuny* boga dadeqqq