Nelson Mwombeki
JF-Expert Member
- May 2, 2018
- 2,933
- 3,397
Nope, kuwa singo afu una hela, hasa hasa saaana ulimbo ni gari, ukiwa na gari aisee utakuwa km yule jamaa Hugh Hefner playboyLove inakuwa prompted na kitu kinaitwa Pheromones ( aina fulani ya hormones). Hizi ndiyo huamsha upendo kwa jinsia nyingine.
Na mwili hutoa sana hiI hormones kama unangonoka mara kwa mara. Kama hungonoki hormones hizi hazitoki hivyo ukipishana na jinsia nyingine huamshi mzuka , unakuwa kama dada/Kaka take.
Law of attraction like attracts likeHabari wataalam! ni sayansi gani inafanyika mpaka ukiwa hata na demu mmoja tu basi utavutia wengine hatakama ni first time mnaonana nao utawadaka fasta ila uwe singo sasa hata uwe hb vip hupat demu fasta hivyo WHY
Hela, ni pesa tuu, hamna ishu nyingine, sio uhandsome sio ushababi, sio genetics, ni hela, Diamond platnumz anaweza kumla mwanamke anayetaka yeye kwasababu ana image ya hela, so sio uhandsome haaata, usidanganyikesasa unakuta wanaosota wako goodlooking lakini kila wakitongoza hata demu malaya wa mtaa holaa, lakini wewe msela kabwela ukiwa na totoz mbili tu utawatia madem wakali kibao tu, mpaka nikajiuliza wananusa vip kama huyo mgwadu na huyu mgawa dozi.
mkuu point ya hela umeikazania sana.Kila mwanamke anataka mwanaume mwenye hela af singo, askudanganye mtu...mi nimeshuhudia na nimeridhika na utafiti wangu, ila kitu kingine, mwanaume mwenye mwanamke mzuri kuliko hapo mtaani anababaikiwa na wanawake wengi hapo mtaani, ambao sio wazuri kumzidi mwanamke wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Yap, hamna kitu chochote kinachompendeza mwanamke km hela, pesa, dolari, tusiongopeane wakuu, hela ndo inaanza afu huo uhandsome unafatia, wakuu watasema mbona mwenye hela anamegewa ndio ila anamegewa na asiye na hela kwa sababu mwanamke kashajitosheleza upande wa hela, so hii "hela" hii ndo ishu, inamaliza kila shidamkuu point ya hela umeikazania sana.
lakini uko sawa.
Bingo...uko sawa mkuuYap, hamna kitu chochote kinachompendeza mwanamke km hela, pesa, dolari, tusiongopeane wakuu, hela ndo inaanza afu huo uhandsome unafatia, wakuu watasema mbona mwenye hela anamegewa ndio ila anamegewa na asiye na hela kwa sababu mwanamke kashajitosheleza upande wa hela, so hii "hela" hii ndo ishu, inamaliza kila shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu, ndo theory ya dunia hii, [emoji16][emoji16]Bingo...uko sawa mkuu
Perception, hawez kujua km una totoz km hakujui, hamna mtu mwenye totoz akatoka anapokaa na masuruali yake akaenda mtaa wa jirani hafahamiki akapata totoz kwasababu tu ana totoz mtaa alipotokea, nop hiyo haipo,umeeleza fresh sana, sasa je wanajuaje kama huyu yuko singo mpaka akupe kibuti at the firt time mnaonana wakat huo huo mwenye totoz hata akiwa kawaida tu atabeba mzgo fastaa...
Kakudanganya nani? Tatizo watu mnategemea nguvu zenu wenyewe badala ya kumwomba munguHabari wataalam! ni sayansi gani inafanyika mpaka ukiwa hata na demu mmoja tu basi utavutia wengine hatakama ni first time mnaonana nao utawadaka fasta ila uwe singo sasa hata uwe hb vip hupat demu fasta hivyo WHY
hivi ehKakudanganya nani? Tatizo watu mnategemea nguvu zenu wenyewe badala ya kumwomba mungu
Sent using Jamii Forums mobile app