Kakaririshwa ajui dunia tunaishi kwa kutegemeanaMataga mnaishi nchi ya kusadikika kama si kufikirika. Tanzania hii iandamwe na mataifa makubwa halafu bado ibaki? Kuna kitu gani nchi hii inaweza kufanya peke yake? Hilo bundle ulipojiunga unajua infrastructure inayowezesha wewe kufanya hivyo unajua inamilikiwa na nani? Unajua kuwa huwezi kufanya transaction hata moja wakiamua?
Eti Magufuli anaandamwa na mataifa makubwa! You guys need your heads examined by qualified medical staff.
Mataga mnaishi nchi ya kusadikika kama si kufikirika. Tanzania hii iandamwe na mataifa makubwa halafu bado ibaki? Kuna kitu gani nchi hii inaweza kufanya peke yake? Hilo bundle ulipojiunga unajua infrastructure inayowezesha wewe kufanya hivyo unajua inamilikiwa na nani? Unajua kuwa huwezi kufanya transaction hata moja wakiamua?
Eti Magufuli anaandamwa na mataifa makubwa! You guys need your heads examined by qualified medical staff.
Hahaha wasipoondoka na madini mtayafanyia nini nyie?!Uchumi umekua kwa 7.2%, mambo makubwa yanazinduliwa, umeme wa uhakika kutoka Stigler George, SGR ya mwendo kasi inayotumia umeme, raia walioelimika kwa elimu ya bure.....wawekezaji hawana sababu za kutowekeza Tanzania, acheni ngojera.
Cha msingi ni kuwa, hamna unyonyaji tena, wanaokuja lazima wakubali kula na Watanzania kwa mgao wa pasu, sio kuchmba madini na kuondoka nayo.
Acha chuki ana kipi cha kuandamwa na hao wanaochangia bajeti 50%.Mabeberu wanataka watu makini wanaowezasaidikika,
Chuki unaongea usivovijua,nani anagharamia miradi ya HIV,magonjwa,unajua maana ya kwa hisani ya watu wa ...,huu mradi unafadhiliwa na....,unayajua magari ya DFP,nchi gani ya kiafrica inayoweza simama bila wao, hata kuhudumia wakimbizi Africa ni wao.Unaweza kuweka hiyo budget ambayo inaonyesha tunategemea 50%? Mimi niwe na chuki ili iweje?
Hahaha wasipoondoka na madini mtayafanyia nini nyie?!
Unadhani wanaenda kuyavaa shingoni kama nyie?!
Madini lazima waondoke nayo, nyie vaeni shanga viunoni.
Mnadanganywa 50/50 halafu hamtaki kuchangia uwekezaji, na uzalishaji, lakini mnataka benefits 50/50, endeleeni kusubiria vya bure muone.
Chuki unaongea usivovijua,nani anagharamia miradi ya HIV,magonjwa,unajua maana ya kwa hisani ya watu wa ...,huu mradi unafadhiliwa na....,unayajua magari ya DFP,nchi gani ya kiafrica inayoweza simama bila wao, hata kuhudumia wakimbizi Africa ni wao.
Wewe ukipewa almasi au dhahabu utaifanyia nini, kama sio kuiuza?!Dah! inaelekea unawaabudu hawa watu, ni hatari. Hongera zako.
Nilishaacha kumuamini huyu mzee kwa jinsi alivyokuwa muongo tangu awazulumu wakulima wakorosho huku akijimwafai kila mara kuwa madeni yote amelipaNdio ulipogota hapo. Yaani mimi nipimwe na wewe ndio mwerevu, hao unaofikiri hawamwandami bado wanalialia kuhusu issue ya Mwl Nyerere Dam, kisa tutapata umeme wa nafuu na wa kuweza kuendesha viwanda nchini. Kama hulioni hilo basi wewe una matatizo binafsi. Kuhusu transaction ni zipi hizo? Tanzania ni unique, tupo top 4 kwenye utalii Africa then wewe unafikiri we do not matter. Hiyo shule uliyokwenda kusoma sijui ulisoma nini? USA na UK waliwasihi raia wao wasiende Tanzania kwa kuhofia ebola leo hii wanaondoa bila kukiri kwamba walikosea. Kuna mambo mengi sina haja ya kurudia rudia hii ni vita ya uchumi kati ya Tanzania ie black African country na wezetu weupe.
Nilishaacha kumuamini huyu mzee kwa jinsi alivyokuwa muongo tangu awazulumu wakulima wakorosho huku akijimwafai kila mara kuwa madeni yote amelipa
Hahaha wasipoondoka na madini mtayafanyia nini nyie?!
Unadhani wanaenda kuyavaa shingoni kama nyie?!
Madini lazima waondoke nayo, nyie vaeni shanga viunoni.
Mnadanganywa 50/50 halafu hamtaki kuchangia uwekezaji, na uzalishaji, lakini mnataka benefits 50/50, endeleeni kusubiria vya bure muone.
Lakini ukumbuke hata kama inchi haina uhuru wa kufanya uwekezaji kwasababu ya kukosa sheria jumuishi ya kitaifa na kimataifa huwa kuna majadiliano na makubaliano baina ya taifa na taifa na hiki kitu kwetu hatuna.Kuna
Kuna mambo lukuki lipokuja issue ya investment, kama kuna watu au kampuni itapata faida kwenye mazingira hayo lazima ifanye investment kubwa tu. Bahati mbaya Tanzania tulikuwa na conman business ambazo ndizo zilitamalaki, kutoka nje na ndani hivyo hatukuwa na genuine investors. Tulikuwa na wezi tu ambazo walisaidiana na viongozi wetu kufilisi nchi. Ukienda middle east, saudia huko hakuna rule of law kama unavyojinadi lakini kuna kampuni kubwa duniani kila leo zinafanya investment kubwa kubwa. Ukienda China pia kuna kampuni toka duniani kote zinafanya investment kubwa sana uko.
Nani aliyewakuwa akihudumia wakimbizi, hata kama HIV imeletwa na wao kwann sie ndo waathirika wakuu bila wao tungeshafutika wengiYaani wewe ni pimbi kabisa huna hata aibu. HIV ilitengenezwa na hao hao wanaokuuzia dawa. Leo unafikiri wanakusaidia. Wake up and smell the coffee. Tanzania tuna wakimbizi lukuki na tumeamua kuwarudisha Burundi na Congo na nchi zinginezo wewe bado unaota ndoto. FYI we are paying for their debt. Nani aliwaloga nyie.
Mhm sawa.Benefits ya 50/50 kwa sababu ardhi ni ya Watanzania, walipewa na Mungu, hao wazungu waje wawekeze kwenye kuchimba kwenye ardhi ya Watanzania kisha wagawane pasu, habari imeisha.
True unakuta mwanasiasa tu tena DC kama sabaya au happy ajui hata TIC wamefanya kazi ngumu kumshawishi MTU awekeze,wao ni kujisomba na makamera weka ndani nataka uwe umelipa siku saba,wanatafuta kiki za kisiasa mbele ya makamera kwa expenses za kudhalilisha watu ili wamridhishe boss wao.Matajiri wameambiwa wataishi kama mashetani na imesikika dunia nzima hata kwa vitendo kina Manji wamesukumizwa ndani kwa kesi za kubambikwa.Nyuma ya matajiri wazawa kuna wawekezaji wageni kama wamefanyiziwa waishii kishetani wengine walilala mbele kukimbiza nje mitaji yao nani mwenye akili timamu wa kuchezea shilingi chooni.Lakini ukumbuke hata kama inchi haina uhuru wa kufanya uwekezaji kwasababu ya kukosa sheria jumuishi ya kitaifa na kimataifa huwa kuna majadiliano na makubaliano baina ya taifa na taifa na hiki kitu kwetu hatuna.
Mfano Marekani na Russia, Russia na China pia Marekani na China huwa wana makubaliano binafsi ambayo huhusianisha makubaliano hayo na taifa na taifa ili itakapotokea tatizo la mgogoro kati ya taifa na taifa kampuni ipate nguvu kutoka katika taifa lake.
Mfano ni Huawei ilipo pata migogoro kule Marekani serikali ya China imejitahidi kufanya kila kitu kuhakikisha Huawei haianguki kabisa.
Kwa hizi kodi zetu nyingi mno hata makubaliano binafsi kati ya taifa na taifa tukiyafanya hayawezi kuwa na tija kwa sababu hata Serikali taifa hatuna sauti ya pamoja Waziri anasema hivi, Mkoa wanasema vile , Wilaya wanasema vile Bunge na Mahakama hao ndio basi tena.
Dah, ila bado taifa lina watu wajinga sana pamoja na shule mlizoenda. Ni hatari kuwa na watu wanaofikiri katika namna kama yako mkuu.Yaani wewe ni pimbi kabisa huna hata aibu. HIV ilitengenezwa na hao hao wanaokuuzia dawa. Leo unafikiri wanakusaidia. Wake up and smell the coffee. Tanzania tuna wakimbizi lukuki na tumeamua kuwarudisha Burundi na Congo na nchi zinginezo wewe bado unaota ndoto. FYI we are paying for their debt. Nani aliwaloga nyie.