Kwanini ni vigumu kwa Tanzania kupata wawekezaji wapya katika mazingira ya sasa

Kwanini ni vigumu kwa Tanzania kupata wawekezaji wapya katika mazingira ya sasa

Ndio ulipogota hapo. Yaani mimi nipimwe na wewe ndio mwerevu, hao unaofikiri hawamwandami bado wanalialia kuhusu issue ya Mwl Nyerere Dam, kisa tutapata umeme wa nafuu na wa kuweza kuendesha viwanda nchini. Kama hulioni hilo basi wewe una matatizo binafsi. Kuhusu transaction ni zipi hizo? Tanzania ni unique, tupo top 4 kwenye utalii Africa then wewe unafikiri we do not matter. Hiyo shule uliyokwenda kusoma sijui ulisoma nini? USA na UK waliwasihi raia wao wasiende Tanzania kwa kuhofia ebola leo hii wanaondoa bila kukiri kwamba walikosea. Kuna mambo mengi sina haja ya kurudia rudia hii ni vita ya uchumi kati ya Tanzania ie black African country na wenzetu weupe.

There's nobody as dangerous as an overconfident fool. Endeleeni kuamini katika haya mnayoyaamini kwa kuwa imani yenu imejengwa kwenye dhana kuwa mungu mtu wenu hakosei. Bahati mbaya sana kwa taifa hili ni kuwa makosa yanayofanywa sasa (huku constructive criticism zikichuliwa kuwa ni uwakala wa mabeberu na kukosa uzalendo) ni disaster waiting to happen.

"No one but a fool is always right."
David Hare
 
..hakuna kitu foreign investors wanakithamini na kukipa kipaumbele kabla hawajafikia maamuzi ya kuwekeza kama rule of the law and predictable government decisions.
South Africa hawana issues na hayo mambo mawili, lakini soma article hii ifuatayo halafu ujiulize ikiwa kuna watu wana mawazo ya aina hiyo South Africa itakuwaje kwetu?
Wake up ccm! Well; kama ccm hii inaona kina Bashite ni viongozi basi we are doomed as a nation.

Dangote anajuta vibaya !
 
And presumably ndio wanaowezesha viwanda vitatu kujengwa kila dakika. Kwa mujibu wa data zilizotolewa majuzi. Na viwanda au biashara hizo zinazotokana na wawekezaji hao wanaopishana TIC zinatumia teknolojia isiyohitaji waajiriwa.
Nakubaliana nawe.
Hata bidhaa wanazotengeneza sijui zinauzwa wapi !
 
..ni kikundi cha vijana chenye kauli mbiu ya " make Tz great again. "

..hao vijana kazi yao ni kumsifia na kumtukuza Jpm kwa kila jambo analisema au kulifanya.

Kumbe !!!, Mimi nikadhani kwamba "mataga" ni wataga mayai au mateja, 🤣🤣
 
..hakuna kitu foreign investors wanakithamini na kukipa kipaumbele kabla hawajafikia maamuzi ya kuwekeza kama rule of the law and predictable government decisions.
South Africa hawana issues na hayo mambo mawili, lakini soma article hii ifuatayo halafu ujiulize ikiwa kuna watu wana mawazo ya aina hiyo South Africa itakuwaje kwetu?
Wake up ccm! Well; kama ccm hii inaona kina Bashite ni viongozi basi we are doomed as a nation.

Kundi la wajinga na wapumbavu kwa hapa Tanzania linapatikana CCM tu, Rais wa ajabu kuwahi kutokea anashabikiwa na wapumbavu na wajinga wa Tanzania hii.
Hakuna investor anayeweza kuja kuwekeza hapa kwenye Serikali isiyo na rule of law, kichaa mmoja ndo mwenye uamuzi wa kila kitu na bahati mbaya ni kichaa na zero brain
 
Uchumi umekua kwa 7.2%, mambo makubwa yanazinduliwa, umeme wa uhakika kutoka Stigler George, SGR ya mwendo kasi inayotumia umeme, raia walioelimika kwa elimu ya bure.....wawekezaji hawana sababu za kutowekeza Tanzania, acheni ngojera.
Cha msingi ni kuwa, hamna unyonyaji tena, wanaokuja lazima wakubali kula na Watanzania kwa mgao wa pasu, sio kuchmba madini na kuondoka nayo.
Mbumbumbu la kutupwa ktk ubora wako
 
Kundi la wajinga na wapumbavu kwa hapa Tanzania linapatikana CCM tu, Rais wa ajabu kuwahi kutokea anashabikiwa na wapumbavu na wajinga wa Tanzania hii.
Hakuna investor anayeweza kuja kuwekeza hapa kwenye Serikali isiyo na rule of law, kichaa mmoja ndo mwenye uamuzi wa kila kitu na bahati mbaya ni kichaa na zero brain


Do Your Son drink water or Does he drink water,??!!🤣
 
Wataje hao wezi walioshirikiana na viongozi wenu,usipo wataja wewe ni mataga

Kwenye sekta ya maadini ndiko tumeona baadhi ya hao wawekezaji walioitwa wezi. Kwa maoni yangu mikataba ya madini ya mwanzo yaliingiwa katika mazingira magumu; ilibidi kutoa vivutio vikubwa kwa hao wawekezaji. Kiongozi yeyote makini hawezi kushindwa kuona mantiki ya mikataba hiyo kuwa kama ilivyokuwa. Nadhani awamu ya nne ilitambua hilo na hivyo kujaribu kurekebisha pale ilipowezekana. Yapo pia mafanikio yaliyopatikana awamu ya tano lakini nahofia "populist style" iliyotumika imekuwa na madhara makubwa kiuchumi kuliko faida. Takwimu za uwekezaji kutoka TIC zinaonyesha.
 
Dah, ila bado taifa lina watu wajinga sana pamoja na shule mlizoenda. Ni hatari kuwa na watu wanaofikiri katika namna kama yako mkuu.
Na je malaria nayo imeletwa na nani? Maradhi ya Moyo, tezi dume, kifua kikuu, kipindupindu nk yote yameletwa na wazungu????

Hayo magonjwa mengine unaongeza wewe ili kujenga hoja yako, mbona huandiki au kupinga nilichoandika? Naona umedandia treni kwa dreva bila kuelewa hoja ilitoka wapi. usiwe na haraka ya kurukia rukia vitu bila kusoma then unaonyesha aina ya shule uliyosoma. BTW I can guarantee you that, I'm more schooled than you.
 
..hakuna kitu foreign investors wanakithamini na kukipa kipaumbele kabla hawajafikia maamuzi ya kuwekeza kama rule of the law and predictable government decisions.
South Africa hawana issues na hayo mambo mawili, lakini soma article hii ifuatayo halafu ujiulize ikiwa kuna watu wana mawazo ya aina hiyo South Africa itakuwaje kwetu?
Wake up ccm! Well; kama ccm hii inaona kina Bashite ni viongozi basi we are doomed as a nation.

Kuna watu hawajui maana ya unachokiongeaa hata kidogo maono mapana hawana ndio maana watu wananafasi kubwa serikalini hila wanafanya upuuzi kama vibaka wa mitaanii kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa Sahizii watu ni mwendo wa kuropoka tuu from nowhere bila kuelewa dunia ishakua kijiji wanalicost sana hili taifa na Afrika kwa ujumlaaa.
 
Hayo magonjwa mengine unaongeza wewe ili kujenga hoja yako, mbona huandiki au kupinga nilichoandika? Naona umedandia treni kwa dreva bila kuelewa hoja ilitoka wapi. usiwe na haraka ya kurukia rukia vitu bila kusoma then unaonyesha aina ya shule uliyosoma. BTW I can guarantee you that, I'm more schooled than you.
Dunia ya leo haifikiri hivyo! Weka ushahidi kwamba wewe ni "more schooled" kuliko? Kwa vyovyote vile, najiskia aibu wewe kujiweka kwenye kundi la "schooled men".
 
Maneno ya kike hayo....utadhani unabishana na mke mwenzio
Wewe huna haja ya kumwamini hiyo ni issue yako. You are a free person, Watanzania tulio wengi tuna imani naye ndio democracy hiyo kama hutaki kajinyonge.
 
Wanajuwa Magufuli ni fisadi papa hataki akaguliwe benki kuu ni kitengo chake mwache awekeze mwenyewe
 
Kuna
Kuna mambo lukuki lipokuja issue ya investment, kama kuna watu au kampuni itapata faida kwenye mazingira hayo lazima ifanye investment kubwa tu. Bahati mbaya Tanzania tulikuwa na conman business ambazo ndizo zilitamalaki, kutoka nje na ndani hivyo hatukuwa na genuine investors. Tulikuwa na wezi tu ambazo walisaidiana na viongozi wetu kufilisi nchi. Ukienda middle east, saudia huko hakuna rule of law kama unavyojinadi lakini kuna kampuni kubwa duniani kila leo zinafanya investment kubwa kubwa. Ukienda China pia kuna kampuni toka duniani kote zinafanya investment kubwa sana uko.
Rubbish!! Huu ni mkusanyiko wa maneno tu, hakuna point. Anaongea vitu asivyovijua
 
Tuna Viwanda 4000 ndani ya miaka 4....

Hivi viwanda sijui ni vya nini maana sijawahi sikia vikitajwa. Toka kaingia kasindua viwanda 10 tu. Kwa jinsi anavyopenda kamera angekuwa anazindua kila siku viwanda 10 na bado hivyo 4000 asingemaliza
 
Kwenye sekta ya maadini ndiko tumeona baadhi ya hao wawekezaji walioitwa wezi. Kwa maoni yangu mikataba ya madini ya mwanzo yaliingiwa katika mazingira magumu; ilibidi kutoa vivutio vikubwa kwa hao wawekezaji. Kiongozi yeyote makini hawezi kushindwa kuona mantiki ya mikataba hiyo kuwa kama ilivyokuwa. Nadhani awamu ya nne ilitambua hilo na hivyo kujaribu kurekebisha pale ilipowezekana. Yapo pia mafanikio yaliyopatikana awamu ya tano lakini nahofia "populist style" iliyotumika imekuwa na madhara makubwa kiuchumi kuliko faida. Takwimu za uwekezaji kutoka TIC zinaonyesha.
Very well argued. Huo ndio ukweli.

Na katika mabadiliko yote yaliyofanyika kwenye sekta ya madini, ya hovyo kabisa yaliyokosa mantiki ya industry ni yale yaliyofanyika katika awamu hii. Mabadiliko yale ya sheria ya madini yaliyofanyika awamu hii yana makosa mengi na yanaonesha ujinga wa waliouandaa mswada na wabunge kwa ujinga tu, nao wakapitisha bila kutafakari.

Ukiacha maneno ya kisiasa na fikra za kutafuta umaarufu wa kipuuzi, sheria ya madini ya mwaka 2010 ilikuwa ni sheria nzuri na inayofanana na sheria za madini karibia dunia nzima. Na kwa upande wa kodi sisi tulikuwa kwenye top band.
 
Ndio ulipogota hapo. Yaani mimi nipimwe na wewe ndio mwerevu, hao unaofikiri hawamwandami bado wanalialia kuhusu issue ya Mwl Nyerere Dam, kisa tutapata umeme wa nafuu na wa kuweza kuendesha viwanda nchini. Kama hulioni hilo basi wewe una matatizo binafsi. Kuhusu transaction ni zipi hizo? Tanzania ni unique, tupo top 4 kwenye utalii Africa then wewe unafikiri we do not matter. Hiyo shule uliyokwenda kusoma sijui ulisoma nini? USA na UK waliwasihi raia wao wasiende Tanzania kwa kuhofia ebola leo hii wanaondoa bila kukiri kwamba walikosea. Kuna mambo mengi sina haja ya kurudia rudia hii ni vita ya uchumi kati ya Tanzania ie black African country na wenzetu weupe.

Mapato ya Tanzania kwenye sekta ya utalii kwa mwaka ni U$2.9 billion. Mapato ya utalii ya jiji la Paris (siyo France) ni U$89 billion. Bado na wewe unaona una nafasi kubwa kwenye utalii wa Dunia?.

Hivi kujengwa kwa bwawa la umeme au kutojengwa, kuna athari gani kwa mataifa makubwa?

Tusiwe wendawazimu wa kuyahusisha mataifa makubwa kwa hata mambo yetu ya kipuuzi. Kuna watu hata familia zao zikikosa mlo wa jioni, wanatoa sababu ni kwa sababu ya mabeberu. Uwendawazimu mkubwa!

Mataifa makubwa yana shida gani na viwanda vya Tanzania, nchi ambayo haichangii hata 1% ya manunuzi toka nchi za magharibi? Ni argument ya kijinga kabisa kuwa eti ujenzi wa bwawa la umeme la Tanzania unapigwa vita na mataifa makubwa kwa sababu nchi itakuwa na viwanda vingi. Hoja ya mataifa makubwa ilikuwa ni sustainability ya hifadhi ya wanyama - hifadhi ambayo bajeti ya utunzaji wake inayategemea mataifa makubwa.

Umeme ni ingridient ya ujenzi wa vuwanda lakini siyo kisababishi. Tunaweza kuwa na hilo bwawa na wala lisiongeze idadi ya viwanda kama mazingira yaliyopo sasa yataendelea kuwepo kama yalivyo leo.

Nimewahi kushiriki katika kuandaa vigezo vya mazingira ya uwekezaji kwa multinational investing companies. Umeme haupo. Mambo yale ya muhimu kabisa, Tanzania kwa sasa ina rank very low. CONFIDENCE is no. 1. Hakuna investor ambaye ataenda kuwekeza katika nchi ambayo mambo mengi yanategemea kauli ya mtu badala ya sheria
 
Na ndio kitu pekee wanachokiweza. Na naweza confidently kusema kuwa wengi wao hawataelewa hiyo article niliyoileta hapa🤣🤣🤣

Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"
 
Back
Top Bottom