Kwanini ni vigumu kwa watu wenye ulemavu kuwa katika mahusiano?

Mwaka gani mkuu naona unaifahamuud. Hata computer inafanya kz vizuri kabisa
2017 ndio tuliondoka jamaa alikuwa anachukua history and PS, alikuwa na Simu+laptop na anatype vizuri tu!!


Wewe ni kijana wa Mwalimu Shayo!! Au Nsimbila au kisanga!??
 
2017 ndio tuliondoka jamaa alikuwa anachukua history and PS, alikuwa na Simu+laptop na anatype vizuri tu!!


Wewe ni kijana wa Mwalimu Shayo!! Au Nsimbila au kisanga!??
Mkuu hahaha ndio mm ulisoma kozi gn pale
 
Kama tu wanawake wanabagua watu wafupi sembuse mtu kuwa kilema? Vijana wanapenda show off
 
Kama kichaa anapata Mimba, iweje mlemavu abaguliwe?
 
Hall 1 pale udsm nimewahi kungonoka na albino wangu Husna, kwa kweli nilikuwa namuonea huruma na pia alikuwa ananiogopesha jinsi macho yake yanavyogeuza geuza.

Siku ya kwanza nilijua anakata Roho.
ilikuaje ukaachana nae?
 
haitakuwa na ugumu kama wakitongozana wao kwa wao
 
Katika Uislam kama mwanamume yurijali na anakili timamu sharia ya dini inaruhusu kuoa.

Hivyo basi kama mtu ni saa mbovu "ulemavu wa akili" au uhanithi "kutodindisha" sharia haimruhusu.
Mbona kuna mlemavu alisaidia kutunga quran
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…