Kwanini niko hivi jamani?

Kwanini niko hivi jamani?

Hii thread inadhihirisha tofauti ya Great Thinkers wa JF kwa miaka ya nyuma na hawa wa sasa.
 
duh pole sana mkuu!nadhan wanaume weng inawaumiza km mwanamke kukosa uzaz!utapona tu
 
Jamani nina tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ni la muda mrefu kidogo kama miaka 4,nimetumia dawa kadhaa lakin bila mafanikio.Uume wangu misuli yake imelegea,ukisimama unakuwa hauna nguvu na unawahi kusinyaa,nawahi kumaliza bao la kwanza na kuendelea siwezi mpaka nishikweshikwe uume na nikichelewa kuingiza unalala,ukiingiza tena kama ni raundi ya pili baada ya dakika ya 3 hivi unasinyaa humohumo kabla hata ya kumaliza,nateseka sana kimawazo maana nadharaulika. NAOMBENI MSAADA WENU WANAJAMII:A S cry:
Vumbi la Kongo. Ndiyo habari ya mjini. 😀
 
Pole bro,ila kwa mtazamo wangu inaonekana ulipiga sana puchu yan punyeto,,no way kwa vile tatzo limeshatokea hakuna bud kulisolve,,naamin ukiacha puchu,,Fanya mazoez,,kula vema haswa ukitumia food supplement zilizo bora utarejea ktk halo yako ya kawaida,,,kwa uzoef Wang ktk kes ka ako weng huwa walijichua sana
Nakutakia kila la kher
Jamani nina tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ni la muda mrefu kidogo kama miaka 4,nimetumia dawa kadhaa lakin bila mafanikio.Uume wangu misuli yake imelegea,ukisimama unakuwa hauna nguvu na unawahi kusinyaa,nawahi kumaliza bao la kwanza na kuendelea siwezi mpaka nishikweshikwe uume na nikichelewa kuingiza unalala,ukiingiza tena kama ni raundi ya pili baada ya dakika ya 3 hivi unasinyaa humohumo kabla hata ya kumaliza,nateseka sana kimawazo maana nadharaulika. NAOMBENI MSAADA WENU WANAJAMII:A S cry:
 
Back
Top Bottom