Dengue
JF-Expert Member
- Dec 4, 2012
- 2,047
- 1,465
msingi ni kwamba wengi tunafanya hili tendo kimwili zaidi na si kiakili.......
Kweli kabisa. Tunasahau kuku wa kwako kwanini umshikie manati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msingi ni kwamba wengi tunafanya hili tendo kimwili zaidi na si kiakili.......
chakula bora, mapumziko, mazoezi, kumuamini mpenzi wako, mazingira ya tendo nk
some people have tried kwenda kwa "sex Specialists" lakini results sio kubwa sana kwani most of it is in your mind
BTW, naskia vijana wengi sana kwa sasa wana shida ya nguvu za kiume despite mazoezi ya nguvu na kula vizuri, could there be something else causing it?
Mkuu Janjaweed wewe Je huna hayo Matatizo ya Nguvu za kiume?chakula bora, mapumziko, mazoezi, kumuamini mpenzi wako, mazingira ya tendo nk
some people have tried kwenda kwa "sex Specialists" lakini results sio kubwa sana kwani most of it is in your mind
BTW, naskia vijana wengi sana kwa sasa wana shida ya nguvu za kiume despite mazoezi ya nguvu na kula vizuri, could there be something else causing it?
Bibie kipenzi huambo lakini King'asti ? Huyu Mkuu.@Janjaweed yeye anasema kuwa anasikia vijana wengi hawana nguvu za kiume mimi ninamuuliza je wewe huna Matatizo ya nguvu za kiume?Sio nguvu za kupigana ngumi? Nguvu za kumtoseheleza Mwanamke kitandani nguvu za kufanya tendo la ngono.........................dr huu uchokozi ukitusuliwa migumi ya uso hata hatukutetei. Nakutakia heri ya sikukuu za mwaka mpya.
samahani mkuu wewe ni kabila gani..Mkuu.@Mjuni Lwambo Wewe unamuambia Mkuu.@Packson atafute kitabu ili
kimuongoze namna ya kutatua tatizo lake wakati yeye sasa anaumwa?Mtafutie Dawa si kumwambia atafute
kitabu kitamsaidia kitu gani ?Ni sawasawa na mtu yupo Mgonjwa mahututi Eti unamuambia asome kitabu jinsi
ya kupona Ugonjwa wake ?Vipi mkuu wewe mpe dawa au toa mawazo usilete mambo ya kitabu hakito msaidia
kitu huyu Packson ni mgonjwa anachotakiwa apewe dawa ili apone.
Watu wengi wana tatizo na wanakuwa hawapati njia sahihi ya kupambana na tatizo. Hii hapa ndiyo njia sahii. Fuatilia maelezo haya kwa umakini. Yote haya ni muhimu kuondoa kabisa tatizo.
MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;
- Seamen cassie
- Cassia bark
- Mullberry leaver
- Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;
- Maji ya nyongo
- Nguvu ya mwili(glucose)
- Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
- Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.
KAZI YA MAGILIM
- Kupunguza uzito na unene
- Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
- Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
- Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
- Kutoa sumu mwilini
- Kutoa chunusi mwilini
- Kutibu matatizo ya tumbo
WASIOPASWA KUTUMIA
- Wajawazito
- Wanaonyonyesha
- Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
- Watoto chini ya miaka 14
REVIVE
Bidhaa hii imetengenezwa na mimea aina mbili ambayo ni Epim-edium na Gin-sen. Bidhaa hii inawasaidia sana wanaume kuamsha hisia za mapenzi na kudumisha msisimko.
KAZI YA REVIVE
- Kuongeza libido(ashiki au nyege)
- Kutibu impotence(mahanisi)
- Kuongeza muda wa uhai wa mbegu za kiume zinapotoka nje, zinatakiwa ziishi katiak joto 37''C.
- Kuweka mwili katika hali ya hisia ya kawaida
- Kutibu maumivu ya kiuno
- Kuchelewa kumwaga mapema(kufika kileleni)
- Kutibu kutanuka kwa kibofu cha mkojo na kuzuia uwezekano wa kupata saratani ya kibofu cha mkojo.
- Inaimarisha usafirishaji wa damu mwilini
- Pia inasaidia kwa wenye pressure ya kushuka
- Kuboresha utendaji wa tendo la ndoa
CA + FE + ZI PLUS
- CA – Madini ya Chokaa
- FE – Madini ya Chuma
- ZI – Madini ya Zinki
FAIDA ZA MADINI YA CHOKAA
- 5% ni uzito wa mwili wa binadamu na ni 2% ya uzito wa binadamu ni madini ya chokaa.
- Madini ya chokaa yanaimarisha mfumo wa kinga mwilini
- Madini haya yanasaidia utendaji wa kazi mwilini
- Madini ckokaa yanaimarisha mishipa ya hisia na ubongo
- Madini chokaa yanasaidia kugandisha damu mtu anapopata majeraha
FAIDA ZA MADINI CHUMA
- Hutumika kutengeneza damu hasa Red blood cells ambazo husafirisha oxygen
- Huimarisha mfumo wa mishipa ya hisia mwilini
- Huongeza uwezo wa kufikiria na nguvu ya ubongo kwa binadamu
- Huongeza nguvu mwilini
FAIDA ZA MADINI YA ZINKI
- Inaimarisha mfumo wa uzazi kwa wanaume
- Inaimarisha milango ya fahamu
- Kutibu vidonda vya ndani na nje wa binadamu
- Inatunza ngozi na kulinda ngozi na nywele
- Inaondoa matatizo ya macho.
Yeyote mwenye swali/anayetaka ushauri anaweza kunipigia kwa namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za CA+FE+ZI Plus ni 51000/- Magilim ni 62500/- na REVIVE ni 60500/-
Mkuu LEONELL Ukisha juwa kabila langu wewe litakusaidia kitu gani? wewe kwani kabila gani?samahani mkuu wewe ni kabila gani..
nimeona unafaa sana kwa ku promoti bidhaa so nkahisi unaweza kuwa wMkuu LEONELL Ukisha juwa kabila langu wewe litakusaidia kitu gani? wewe kwani kabila gani?
nimeona unafaa sana kwa ku promoti bidhaa so nkahisi unaweza kuwa w
akwetu wewe
Bibie kipenzi huambo lakini King'asti ? Huyu Mkuu.@Janjaweed yeye anasema kuwa anasikia vijana wengi hawana nguvu za kiume mimi ninamuuliza je wewe huna Matatizo ya nguvu za kiume?Sio nguvu za kupigana ngumi? Nguvu za kumtoseheleza Mwanamke kitandani nguvu za kufanya tendo la ngono.........................
Mkuu LEONELL mimi kabila langu ni Mzaramo wa Bagamoyo lakini Mzaliwa wa Mjini Dares-salaam na wewe kabila gani Mwenzangu na ni Mtu wa wapi?nimeona unafaa sana kwa ku promoti bidhaa so nkahisi unaweza kuwa w
akwetu wewe
Nitakutafuta, hakika utatuokoa wengi! Maana wengine hata hilo moja ni tabu.
Mkuu LEONELL mimi kabila langu ni Mzaramo wa Bagamoyo lakini Mzaliwa wa Mjini Dares-salaam na wewe kabila gani Mwenzangu na ni Mtu wa wapi?