Kwanini niliamua kuwa mkristo

Kwanini niliamua kuwa mkristo

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,357
Reaction score
1,596
Sababu zilifanya mimi kuwa mkristo ni

Wakristo kuamini watu wote ni wa Mungu bila kujali DINI, KABILA, UTAJIRI nk..... Wakristo wanaamini njoo kama ulivyo Yesu bado anakupenda. Hii ni kwamba, wenye dhambi, Waislam, wenye shida, yesu bado anawapokea.

Kumpenda jirani yako kama wewe unavyojipenda, sio tu nikupende kwa vile wewe ni mkristo mwezngu, hii hapana. sio kwamba Fulani ndugu yake Fulani, hii hapana, mpende mtu yeyote bila kujali Imani yake.

Ukristo ni kwa watu wote, lugha zote, si lazima kujua kingereza ndo ujue Mungu, Mungu anasikia maombi kwa lugha yeyote na kwa mtu yeyote wakati wowote ukiwa popote.

Wakristo hawapigani vita ya kimwili( vita ya mapanga na mikuki au kujilipua). wanapigana vita ya kiroho( maombi).

Nchi nyingi salama kutembelea ni za wakristo

Asante
 
Mkuu MIMI wakristu na waislamu wote ni watu wangu, pamoja na kwenda kanisani Ila nishaingia sana Msikitini ndio maana sibagui Dini km FaizaFoxy na THE BIG SHOW
Wakristo hawana shida,ni watu wema tuh,waliovamia u kristo na kujiona wao ni Bora kuliko watu wa dini zingine ndiyo miyeyusho,HASA ukimskia mkristo anasema Israel ni Taifa teule la Mungu UJUE ni wale wale nguchiro.
 
Wengi wetu hatukuamua kuamini kwenye imani tunazo amini bali tulirithishwa nasi tutarithisha vizazi vyetu.

Mimi ni mkristo Mkatoliki kwa sababu nilizaliwa kwenye familia inayoamini katika misingi na miongozo ya ukristo.
 
Wengi wetu hatukuamua kuamini kwenye imani tunazo amini bali tulirithishwa nasi tutarithisha vizazi vyetu.

Mimi ni mkristo Mkatoliki kwa sababu nilizaliwa kwenye familia inayoamini katika misingi na miongozo ya ukristo.
X dot Com

Server down

Imebuma

Elon Musk sijui ana hali gani huko
 
Back
Top Bottom