Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Mohamed alimuona Yesu? Quran ina mix mafaili kwamba mama yake Yesu alikua dada wa Aron msaidizi wa Musa. Quran haisemi Yesu alizaliwa wapi,alitokea kabila gani la Israel. Kwenye Quran haijulikani Yesu alikua na wanafunzi wangapi,wala majina yao .
Quran haujawahi kuzungumzia yesu nabii issa sio yesu
 
Kwani wewe Mungu unamjua yukoje na ulimuona vipi kuwa yuko hivyo unavyoamini ili tuthibitishe kuwa Yesu si Mungu.
Allah ni mmoja tu
Allah ndo anaaabudiwa na kila kiumbe (kwa kupenda na bila kupenda)
Hakuzaa
Hakuzaliwa
Hafanani na kiumbe chochote
Hizo ndo sifa zake kuu, linga isha kwa yesu utaona namna file linacorrupt
 
yesu hakuleta dini, kabla ya ujio wa Yesu watu walisali pia na hata hao watangulizi walijua ujio wake hata kabla yake
 
Trivial points.....kuna mtu anasmulia ccm bendera zao ni za kijani na njano na mwingine akasimukia Ccm wana Rangi ya Mboga mboga.

Hiko ni kitu kimoja.
 
Hakuna uhusiano kati ya Nabii Issa wa Quran na Yesu Kristo mwana wa Mungu aliyezaliwa kwa Bikira Maria huko Nazareth.

Nabii Issa ni wa kwao wabakie nao wao, wasimlazimishie kuwa ndiyo Yesu wa kwenye Biblia
 
Allah ni mmoja tu
Allah ndo anaaabudiwa na kila kiumbe (kwa kupenda na bila kupenda)
Hakuzaa
Hakuzaliwa
Hafanani na kiumbe chochote
Hizo ndo sifa zake kuu, linga isha kwa yesu utaona namna file linacorrupt
Haya yameandikwa na Mudi bado si uthibisho wa ni nani Mungu wa kweli. Kama hafanani na kiumbe chochote, kwa nini msimlizi wako hakuleta mchoro wake tujue picha halisi ya Allah asiyefanana na chochote?
 
yesu hakuleta dini, kabla ya ujio wa Yesu watu walisali pia na hata hao watangulizi walijua ujio wake hata kabla yake
Sasa mbona hao wa kabla ya yesu wanahubiri kitu kimoja na yule aliyekuja baada yake alafu nyie kwa upotevu wenu mnamuhubiria yesu kitu ingine kabisa.....
Kwa hakika yesu akirudi atastaajabu sanaaa
 
Haya yameandikwa na Mudi bado si uthibisho wa ni nani Mungu wa kweli. Kama hafanani na kiumbe chochote, kwa nini msimlizi wako hakuleta mchoro wake tujue picha halisi ya Allah asiyefanana na chochote?
Bila kujali imeandikwa na nani
Hoja yangu katika sifa hizo nne ni ipi ambayo yesu anayo?? Zote zinamkataa
Huyu hawezi kuwa Mungu
 
Na bado kuna nabii mwingine huyu sijui itakuwaje kwa wafuasi wake miaka 500 ijayo 👇 TAZAMA DINI ZILIVYO


View: https://www.youtube.com/watch?v=YDMTIpFio7o
 
Shule nayo ni muhimu!
Ukishachora si umeshafananisha jamani au hata kiswahili nacho chenga!
Shule ni mhimu zaidi! Hasa kwenu nini waathirika kisaikolojia, unaambiwaje hafanani na kitu chochote ( huyo msimlizi wako alitoa wapi wazo hilo la yeye kutofanana na kitu chochote?). Pia kama kitu hakifanani na kitu chochote haimaanishi hakina image.
 
Reactions: 511
HUMU LEO PATACHIMBIKA [emoji16]
NIMESOMA KOMENT WATU WAMEANZA KUJIBISHANA KISWAHILI SWAHILI TU NA KIMKATO

WATU WANASHINDWA KUJIBU KWA HOJA WALA VIFUNGU VYA MAANDISHI KUTOKA KWENYE QUR'AN NA BIBLIA.
 
Reactions: 511

Najua umepata mafunzo mbalimbali ya Biblia hata hivyo, NAKUSHAURI utumie akili yako Mungu aliyokupa bure kutafakari haya maandiko ya Biblia;

Mungu, aliumba Binadamu, Binadam wakamkosea Mungu, Baada ya Kumkosea Mungu wakampiga hadi akafariki, Mungu akakubali kupigwa hadi kufariki ili awasamehe binadamu (alio waumba)?
baada ya siku Tatu Mungu akafufuka, akanyakuliwa kwenda kwa Mungu?

Unayo nafasi ya kutafakari haya maneno kwa kutumia akili yako (sio ya kuambiwa) na kujua usahihi wa njia uliyo amua kuifuata....ili usije kujutia siku za mwisho (day of judgement!)
 
HUMU LEO PATACHIMBIKA [emoji16]
NIMESOMA KOMENT WATU WAMEANZA KUJIBISHANA KISWAHILI SWAHILI TU NA KIMKATO

WATU WANASHINDWA KUJIBU KWA HOJA WALA VIFUNGU VYA MAANDISHI KUTOKA KWENYE QUR'AN NA BIBLIA.
Ni kweli maana Mudi hana tofauti na mpinga kristu. Kwenye Qur'an alikuja kumuongelea Yesu badala ya kuongea ya Mungu anayemuamini ili waamini wake wasikae kujadili wa imani zingine ndo maana unakuta wanawakamata wanaokula nyakati hizi maana hawajiamini.
 
ni upotevu wa waziwazi. vilevile,
1. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuhubiri ukatili, kwamba asiyeuamini uislam achinjwe chingoni,badala ya kumwamini Yesu aliyefundisha upendo na kusamehe adui?

2. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuamrisha watu wake kuitetea dini au mungu hata kwa jihad na wakifa katika mazingira kama hayo wataenda peponi, badala ya kumwamingi Mungu wa kweli asiyehitaji msaada wa mwanadamu wakati wa kujitetea, kwasababu ukimtetea Mungu manake mungu wako hana nguvu, anahitaji kutetewa na mwanadamu.

3. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kudanganya wanadamu kwamba, hata kama ameua katika kutetea hiyo dini au mungu wao, kule ahera atapewa mabikra 72 awe anazini nao muda wote, na ajabu yake hata akizini nao bikra zao haziondoki, manake wanakuwa bikra siku zote, sasa sijui wanazini nao upande upi hadi bikra isiondoke baada ya kuingiliana? NItamwamini Yesu aliyetamka wazi kwamba baada ya maisha haya, miili yetu itabadilishwa na kuwa kama ya malaika, hakutakuwa na kuoa au kuolewa.

4. kuna mengi yanashangaza, ila wengi bado wapo kifungoni, Mungu awasaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…