Kwanini Nissan UD na siyo Scania?

Kwanini Nissan UD na siyo Scania?

UD bonge la gari haina mwendo sana lakini inavumilia,na inanguvu.
Spea ghali lakini ukifunga unasahau.
 
Ze dudu wasomari waliopo Msumbiji wakija huku kununua Truck wanashangaa sana Watanzania tukiangaika na Scania na kuacha Actros...
 
Isanga umenikumbusha mbali sana Shalom , Juldan, Mazhandu, Red Bombs, ndio makampuni niliwahi kupanda huko Zambia , Benz Tanzania haipendwi lakini ni bonge LA gari usipime
 
nissan ud .ni gari roho ya paka haswaaaaa. scania mwenyewe haingii ukweli ni kuwa ni gari ambayo inaweza tembea umbali mrefu zaidi bila kuzimwa ili ipoe tofauti kbs na scania.
ukitembeza scania kama nissan ud utakuta imeyeyusha mpaka piston.

mm naona hapa suala la kuwa scania ni garama.ziwekwe pembeni sio kweli kuwa watu wanashindwa kuzifanya zipige long safari kisa ni bei gari kwani kuna scania ngapi ni basi?? zinapiga masafa mafupi??

inamaana wano piga masafa marefu ni maskini hawana.pesa ukilinganisha na wengine wanao piga masafa mafupi??
Mkuu ebu nenda Zambia uone maajabu ya skania scania huwez linganisha na gari ya kijapani
 
Back
Top Bottom