Uchaguzi 2020 Kwanini nitapiga kura Oktoba 28, 2020

Uchaguzi 2020 Kwanini nitapiga kura Oktoba 28, 2020

MIXOLOGIST

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2016
Posts
14,311
Reaction score
36,056
Habari wana JF,

Kupiga kura ni haki yangu ki-katiba na kisheria, ni wajibu wangu pia kama raia, lakini zaidi ya yote ni fursa yangu kutumia haki yangu kuonesha hisia zangu (si hasira) kwa watu nilio waajiri (wanasiasa) kwamba wamefanya niliyowaagiza ama la.

Ni wakati wangu wa kuwatathmini (appraisal) na kuwapa stahiki yao.

Ewe mtanzania mwenzangu, tumia haki hii kiuaminifu na wewe utakua mzalendo wa ukweli. Tanzania kwanza. JITATHMINI, JIRATIBU NA UFANYE MAAMUZI SAHIHI
 
Hata mimi nitapiga mkuu,

Watumishi wa umma kwa umoja wetu tutatoka na wenzi wetu na watoto wetu na majirani na wategemezi wetu kwenda kuhitimisha (appraisal) ya tuliowachagua walichotufanyia ambacho kina uhusiano mkubwa na kile kinachoendelea leo kwenye utumishi wetu wa umma.

Katika hili nakuahidi tupo pamoja (kijumbe zaidi)
 
Hata mimi nitapiga mkuu.
Watumishi wa umma kwa umoja wetu tutatoka na wenzi wetu na watoto wetu na majirani na wategemezi wetu kwenda kuhitimisha (appraisal) ya tuliowachagua walichotufanyia ambacho kina uhusiano mkubwa na kile kinachoendelea leo kwenye utumishi wetu wa umma.

Katika hili nakuahidi tupo pamoja (kijumbe zaidi)
Ha ha ha sawa mjumbe
 
Back
Top Bottom