Kenya 2022 Kwanini nusu ya wakenya hawajapiga Kura?

Kenya 2022 Kwanini nusu ya wakenya hawajapiga Kura?

Kenya 2022 General Election

The Boss

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2009
Posts
49,282
Reaction score
117,244
Nimeshangaa Sana wakenya milioni 12 Tu ndo wamepiga Kura baada ya milioni 22 kujiandikisha ..what happened?
 
Kwa kimombo inaitwa voter apathy. Kwa ufupi ni kwamba wengi wa wapiga kura hawakuona umuhimu wowote wa kushiriki kwenye shughuli hiyo. Mimi nikiwa mmoja wao, am sorry to say.
 
Nimeshangaa Sana wakenya milioni 12 Tu ndo wamepiga Kura baada ya milioni 22 kujiandikisha ..what happened?
Kwasababu wengine wako kwenye riadha common wealth games.

Halafu Rais Ruto Rais mtarajiwa anaongoza huko kwenye matokeo ya awali. Go go go Ruto
Screenshot_20220809-211119.jpg
 
Majina mengi hayajaonekana kwenye mfumo wa upigaji kura
 
Angalia K24 ,KBC na The Citizen .

Ni kwamba vijana ndo hajaenda kupiga kura
 
Why kiongozi ?
Kila mkenya ambaye hakupiga kura alikuwa na sababu zake. Ila mimi binafsi ilikuwa ni kwamba sikuona mgombea yeyote ambaye alikidhi vigezo, vya kupata kura yangu/muda wangu. Sanasana kwenye nafasi za urais, ugavana wa gatuzi langu pamoja na ubunge.
Nikaona isiwe presha, acha wakamenyane wenyewe kwa wenyewe. Alafu mimi nami niendelee na shughuli zangu za kawaida za kujenga uchumi, wangu pamoja na wa nchi yangu.
 
Back
Top Bottom