Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,959
- 24,935
Sasa sijui kwa nini inakuwa hivyo nyama huwa hainogi ukiwa mwenyewe,
"Niko hapa mjini Eneo flani hivi mwenyewe tu nimeagiza kitimoto Nusu na Robo (robo tatu) na viazi vya buku jero.
Nyama iko vizuri lakini nipo tu nashindana nayo mwenyewe ata Nusu sijafika naona Tumbo limenisaliti.
Nilikuwa na njaa lakini sasa najiona naelekea kupigwa KO, hata hamu imekata naona kama najilazimisha tu.
Macho yangu nimeyatoa kodo kutazama pembeni labda nitakuta pisi kali nilivute tusukume wote lakini wapi
Mzigo umenishinda bora nikiwa na washkaji zangu au mlupo ndio inakuwa mwake
Hizi nyama kwa nini huwa hazinogi ukiwa mwenyewe?
Cc Zero iq
Sent using Jamii Forums mobile app
"Niko hapa mjini Eneo flani hivi mwenyewe tu nimeagiza kitimoto Nusu na Robo (robo tatu) na viazi vya buku jero.
Nyama iko vizuri lakini nipo tu nashindana nayo mwenyewe ata Nusu sijafika naona Tumbo limenisaliti.
Nilikuwa na njaa lakini sasa najiona naelekea kupigwa KO, hata hamu imekata naona kama najilazimisha tu.
Macho yangu nimeyatoa kodo kutazama pembeni labda nitakuta pisi kali nilivute tusukume wote lakini wapi
Mzigo umenishinda bora nikiwa na washkaji zangu au mlupo ndio inakuwa mwake
Hizi nyama kwa nini huwa hazinogi ukiwa mwenyewe?
Cc Zero iq
Sent using Jamii Forums mobile app