Kwanini Nyerere aliachia madaraka mapema?

kwanini aliihisi hivo? Mimi sikuwepo enzi za mwalimu kwa kweli lakini hii philosopy unazani ingeweza kuapply kwake? Si alikuwa anapendwa sana mwalimu enzi hizo
 
nashukuru kwa majibu mkuu swali langu ni kwamba kwanini asingeendelea kushikilia madaraka tu kama kina mugabe wanadai hawajaona watu wenye uwezo wa kuachiwa kuongoza nchi? Au huku kwetu kipindii hicho aliona watu wenye uwezo zaidi yake wapo?
 
nashukuru kwa majibu mkuu swali langu ni kwamba kwanini asingeendelea kushikilia madaraka tu kama kina mugabe wanadai hawajaona watu wenye uwezo wa kuachiwa kuongoza nchi? Au huku kwetu kipindii hicho aliona watu wenye uwezo zaidi yake wapo?
Uchumi wa Zimbabwe ulikuwa mzuri tu hadi hivi majuzi baada ya Mugabe kuya seize mashamba ya mabepari wakizungu.

Nasisitizia hili la uchumi kuwa the main reason why mwalimu didnt do it like Mugabe, kwasababu kwenye majibu yote uliyopewa uchumi umetajwa kama the main thing.Mwalimu left, but Mugabe isnt kwasababu mwalimu alishajaribu hilo la kuziweka rasilimali kwa umma/serikali,lakini halikufanya kazi.Anachofana Mugabe sasahivi, mwalimu yeye alishafanya, lakini ilishindikana.

Pia on the other hand however, muda aliokaa madarakani mwalimu ni almost the same as Mugabe, sema vipindi tofauti, Mugabe kachukua nchi mwaka 1980 kama sikosei.
 
Nadhani kilichomfanya aachie madaraka mapema ni baada ya kuona sera zake za ujamaa na kujitegemea zimefeli na hivyo akaamua kuwaachia wenye mawazo mbadala..

kitu hicho alichofanya ni cha busara angalitaka kukaa kimabavu asingalishindwa.na ikumbukwe kuwa yeye aliheshimika na jeshi na watendaji wengine vizuri zaidi.
 
nashukuru kwa majibu mkuu swali langu ni kwamba kwanini asingeendelea kushikilia madaraka tu kama kina mugabe wanadai hawajaona watu wenye uwezo wa kuachiwa kuongoza nchi? Au huku kwetu kipindii hicho aliona watu wenye uwezo zaidi yake wapo?

Smile,

Kwani kushikiria madaraka na kubaki kiongozi nyuma ya panzia kuna tofauti?
 
Uchumi ulikuwa ukiyumba ... Akaamua asepe... na pia amekaa madarakani zaidi ya miaka 20 ... Hana tofauti na Mugabe ..
 
Mtu kakaa 23 years bado mnasema aliwai?
Infact aliondoka bse alijua yu mtu safi na awaachie wengine pia walisukume ili gurudumu la maendeleo ya Tz.
Na pia ideology zake nyingi zilikuwa zapata upinzani hasa ktk ulimwengu huu wa kibepari so ili asipate KISUKARI NA BP akaona alete damu mpya!
To it was a brilliant idea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…