Kwanini Nyerere aliondoka madarakani?

Kwanini Nyerere aliondoka madarakani?

Watu Kama nyie Ndo mnatakiwa hapa nchini na JF kwa ujumla Hata Kama umekopi
Nimefurahi kusoma vitu vya zamani ambavyo nilikuwa Bado sijazaliwa....!!
nimekopi na kupest
running.png
 
Mawazo ya Mwalimu kwasasa hayawezi kufanya kazi. Dunia imebadilika uchumi unaongozwa kwa nguvu ya soko.
Mawazo ya Mwalimu kwasasa hayawezi kufanya kazi. Dunia imebadilika uchumi unaongozwa kwa nguvu ya soko.
Hapana ndugu yale mawazo ya mwalimu yangukua yametumiwa kwenye mfumo wa sasa naamini tungekua mbali mno, we sikiliza tena nakusikiliza hotuba zake utaelewa.
 
duh,ilikuwaje?
Ntaeleza kwa ufupi kwa kadri ya uelewa wangu....
Sera ya vijiji iliasisiwa na Mwl Nyerere ili kuwaunganisha watu wakae pamoja ili waweze kupata huduma za kijiji kwa ukaribu kumbuka zamani watu waliishi mbali mbali hivyo ikatakiwa watu wote waishi kwa pamoja waweze kupata huduma za Afya pamoja,yakaanzishwa maduka ya Ushirika,mashamba ya ushirika yaliyokuwa chini ya serikali na pamoja na kupewa zana za kilimo ili wavitumie kwa pamoja

Hivyo Mwl Nyerere ikawa sera yake hiyo ikawa inawalazimisha watu wawe pamoja wale waliokataa ndio walikutana na dhahma ya kuchomewa nyumba zao,kufyekewa mazao yao mashambani n.k hii ilipelekea watu wengi kwenda kuishi kwe vijiji vya ujamaa wakiwa na njaa ya kutisha isiyokuwa na mfano kumbuka kuna baadhi ya familia zilikuwa na mashamba makubwa tu huko walikoishi lakini walipopelekwa katika vijiji vya ujamaa walipewa vipande vya ardhi chukulia mfano mtu ana ekari 58 na analima kwa trekta lake mwenyewe na anakuwa na uwezo wa kuvuna hata gunia 300 harafu unampeleka kwe vijiji vya ujamaa ambapo anakatiwa nusu ekari ambapo anakuwa anavuna gunia 5-10 lazima apate njaa tena iliyokithiri. Lengo la hii sera watu walipokonywa yale mashamba yao ili waweze kulima yale mashamba makubwa ya Ushirika.

Hii ilisababisha watu kuishi kwa taabu sana wakiwa hawana chakula na hata pesa ya kujikimu pia hata makazi wakawa hawana

Sera hii ilisababisha watu kuishi maisha magumu mno hali hii ilipelekea mpaka serikali kuanza kuleta chakula cha msaada(mahindi ya yanga),sera hii ilikuwa nzuri ila shida ilikuwa ni nzuri ila tatizo lilikuwa ni utekelezaji wake,mfano mtu ana ekari 58 kwa nini unamuondoa na kupokonya ardhi yake? kwa nini usimuache aendelee na shamba lake ila umpe utaratibu wa kulima mashamba ya ushirika?

Mkuu hii ndo sababu kubwa ya nchi kuingia katika hali ya kuporomoka kwa uchumi na nchi kuingia kwe njaa kali hii nayo ilimsumbua sana Mwl hata kuanza kuipigia magoti Magharibi!!
 
Ntaeleza kwa ufupi kwa kadri ya uelewa wangu....
Sera ya vijiji iliasisiwa na Mwl Nyerere ili kuwaunganisha watu wakae pamoja ili waweze mashamba makubwa ya Ushirika.

lee na shamba lake ila umpe utaratibu wa kulima mashamba ya ushirika?

Mkuu hii ndo sababu kubwa ya nchi kuingia katika hali ya kuporomoka kwa uchumi na nchi kuingia kwe njaa kali hii nayo ilimsumbua sana Mwl hata kuanza kuipigia magoti Magharibi!!
duh..........huyu mzee...
 
Mawazo ya Mwalimu kwasasa hayawezi kufanya kazi. Dunia imebadilika uchumi unaongozwa kwa nguvu ya soko.
Mawazo ya namna hiyo ndo yanapigiwa chapuo leo,imetengenezwa hi breed ambapo mrengo wa shoto na kulia zimeunganishwa.Hata rais mteule wa dunia anaongelea ustawi wa watu wa taifa lake,hapa kwetu ningesema Rais Magufuli anafanya hivyo lakini yeye ni maneno tuu vitendo ni tofauti.
 
Back
Top Bottom