Kwanini Nyimbo za Diamond Zinawahi Kuexpire?

Labda za alikiba.. Mbagala has & will always be a hit, kamwambie, ukimuona, etc
 
Kwanini watanzania mnataka diamond aporomoke kisanaa na kwisha kabisa ??
Sio tunataka aporomoke tunataka aimarike akitoa uzi usichoke haraka kama ilivyo kwa sasa 2 weeks nyimbo haipo kwenye ramani imepotezwa kabisaaaaa
 
Michael Jackson alikuwa anakaa miska ndio anatowa album na hakuna aliyevunja rekodi yake mpaka leo, je hili unalisemaje?
 
Sio tunataka aporomoke tunataka aimarike akitoa uzi usichoke haraka kama ilivyo kwa sasa 2 weeks nyimbo haipo kwenye ramani imepotezwa kabisaaaaa
Kwa fact gani maana ata youtube mshapitwa viewz....kitaani ndo usiseme....au mnajitekenya na kucheke wenyewe
 
Sio tunataka aporomoke tunataka aimarike akitoa uzi usichoke haraka kama ilivyo kwa sasa 2 weeks nyimbo haipo kwenye ramani imepotezwa kabisaaaaa

Team karanga hawawezi kuelewa, wao wanajua tunamchukia
 
Kwa fact gani maana ata youtube mshapitwa viewz....kitaani ndo usiseme....au mnajitekenya na kucheke wenyewe

Hii fact ya viewers Wa you tube huwa ni hoja dhaifu maana you tube hata jambazi akiwekwa anaangaliwa tena na watu wengi hata kama alikuwa akimpiga mtu risasi!
 
Kwa fact gani maana ata youtube mshapitwa viewz....kitaani ndo usiseme....au mnajitekenya na kucheke wenyewe
Unajua maana ya kuchuja nyimbo? Nyimbo inaweza ikokosa views kabisa likin hata kama ukasikiliza baada ya mwaka 1 unaona bado ni madini sio. Kuwa na view wengi ndio kuto chuja?
 
Unajua maana ya kuchuja nyimbo? Nyimbo inaweza ikokosa views kabisa likin hata kama ukasikiliza baada ya mwaka 1 unaona bado ni madini sio. Kuwa na view wengi ndio kuto chuja?

yaani hawajui kama mtu nayeenda kuview anakuwa pengine hata hajausikia/kuuona huo wimbo so anaangalia huyu msanii kaimba nini? ili kupata maoni juu ya ubora Wa wimbo huo labda umhoji
 
yaani hawajui kama mtu nayeenda kuview anakuwa pengine hata hajausikia/kuuona huo wimbo so anaangalia huyu msanii kaimba nini? ili kupata maoni juu ya ubora Wa wimbo huo labda umhoji
Hao ni weupe wako kwa ajili ya kubisha tu. Tusiwajengee hoja watatuchukia na kutuona ss tunamsema mond kwa ubaya
 
Hii fact ya viewers Wa you tube huwa ni hoja dhaifu maana you tube hata jambazi akiwekwa anaangaliwa tena na watu wengi hata kama alikuwa akimpiga mtu risasi!
Hukuna uhusiano kati nyimbo kuchuja na uwepo views wengi YouTube
 
Siku zote ngoma ivumayo sana hupasuka, mkuu!
 
Daimond anapenda kutoa myimbo kila wakat...kwake ni furaha so kama nyimbo itakugusa isikilize if not iache yeye ametimiza ndoto yake...
 
taja nyimbo ya msanii wa bongo fleva ambayo ametoa mwaka mzima na haikuexpiry yan kila cku ukipita unaisikia mitaan .redion. kwa tv ...kwa mwaka au hata yakimarekan
 
MIMI NAHISI KUTOA NYIMBO MOJA AU MBILI KWA MWAKA NI UOGA TUU WA KUHOFIA KUISHIWA MASHAIRI NA KUOFIA NIKITOA NYINGI LEO NITATOA NN KESHO

TUNAJIFUNZA HATA KWA WENZETU MARA KWA MARA WANATANGAZA NYIMBO MPYA

UKIANGALIA MDA ALIOANZA KUJULIKANA CRISSBROWN NI MIAKA MINGAP UKIRINGANISHA NA NYIMBO ALIZO IMBA UTAGUNDUA KWA MWAKA ANATOA NYIMBO NYINGI SANA

ALSO KWA MSANII KAMA DIAMOND YEYE HAPATI HASARA COZ NYIMBO ANAZOTOA ZINARUDISHA PESA YAKE ANASORCE NYINGI ZINAZOINGIZA PESA KUPITIA NYIMBO ANAZOTOA

UKIANGALIA YUOTUBE HAMNA NYIMBO AMBAYO AMETOA INA VIEWER CHIN YA MILLION NNE ZAID YA HII MPYA KWA MIEZI HII SABA UTASEMAJE ASITOE WAKAT MASHABIKI TUNAHITAJ NYIMBO MPYA

ANAUZA WASAFI.COM AKIUZA TUU KWA WATU 1000 NI MILIONI MIA TATU WATU MIA NI MILION THERASINI SASA KWANN ASITOE NYIMBO MPYA

PIA DIAMOND YEYE HAJICHUKULIII KUWA AMESHATOKA ALWAYS ANAONA KUNA SEHEM HAJAFIKA NDO MAANA HUWA ACHELEWI KUTOA NYIMBO AMBAYO ANAJUA KABISA ITAMFIKISHA SEHEMU HUSIKA

NAJUA WANAOMSEMA NI WALE AMBAO HAWAMPENDI YEYE NA KAZI ZAKE PIA

PIA MNAOMSEMA NDO MNAMPA NGUVU ZA YEYE KUFANYA VIZURI ZAIDI

Asante.
 
Michael Jackson alikuwa anakaa miska ndio anatowa album na hakuna aliyevunja rekodi yake mpaka leo, je hili unalisemaje?
hiyo ilikuwa kizamani,biashara ya mziki imebadilika sasa hivi,ushindani mkubwa sokoni,sasa ukiona ngoma imeanza kupoa tu unadondosha nondo nyengine unarejesha uzima wa watu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…