Kwanini Nyimbo za Diamond Zinawahi Kuexpire?

hiyo ilikuwa kizamani,biashara ya mziki imebadilika sasa hivi,ushindani mkubwa sokoni,sasa ukiona ngoma imeanza kupoa tu unadondosha nondo nyengine unarejesha uzima wa watu!
Mtu yeyote anayejiita boy ni mvulana, nadhani nadebate na wrong person.
 
seduce iko wapi sasa hivi? aje? hiyo ya dada dimpoz hata kusikika haisikiki kabisaaaaaaa....usitumie wowowo kuwaza.
 
Mtu yeyote anayejiita boy ni mvulana, nadhani nadebate na wrong person.
we si mzima kichwani...kwa hiyo unatake serious hizi fake ID? in the internet you dont know if you are communicating with a dog...
 
Anazima nyimbo zake mwenyew
.kwani shida ziko wapi?? Anabidi
 
Matola technic za miaka hiyo uzitumie sasa utafeli tu, dunia inabadilika mwangalie drake, cris brown, Nicki minaji, Taylor swift, katty perry nk hebu ukipata muda wafuatile tu bilboard au ktk social acc zao kila siku wanaachia nyimbo
 
Kweli tunatofautiana mimi eneka naipenda kuliko zilipendwa
 
Kila mwanamuziki anamalengo yake ukiachilia kuwalidhisha wateja wako lakn pia muziki unamuda .kwahiyo wako sahihi inategemea na malengo yake kuna wengine wanafanya muziki biashara wengine muziki masifa lakn pia siamini kwamba kwenye mziki ni lazma ukae miaka nendarudi unaimbaimba cha msingi ni kubadilisha aina ya biashara. Sio lazma kufanya mziki mpaka unakufa kuna ku staafu kama kazi nyingine
 
Unajua maana ya kuchuja nyimbo? Nyimbo inaweza ikokosa views kabisa likin hata kama ukasikiliza baada ya mwaka 1 unaona bado ni madini sio. Kuwa na view wengi ndio kuto chuja?
Hiyo ni hoja dhaifu sana maana kila mtu ana sikio lake, ww unaweza kuona huu wimbo umechuja lkn mwingne ndo anaona bado kabisa.

Zilipendwa ilipitwa 1M viewz na seduce me kaangalie asa iv gape lililopo so utujibu sasa ww ni wimbo upi ulopotea ghafla....maana speed ya zilipendwa ipo pale pale since inaachiwa tofauti na iyo nyingne ambayo ilikujabkwa kasi sanaa lkn asa iv imedoda......alafu siyo u tube tu ata mtaani zilipendwa inakimbiza mitaa.
 
Nyimbo inayopendwa sana ndiyo inayochuja mapema kama suruali unayoipenda inavyowahi kuchakaa, kuna nyimbo kama sorry ya beiber, Loyal c brown, do me p square, nk Zimechuja sababu ya kupendwa na kusikilizwa sana Diamond is a hell of a musician
 
Nyimbo inayopendwa sana ndiyo inayochuja mapema kama suruali unayoipenda inavyowahi kuchakaa, kuna nyimbo kama sorry ya beiber, Loyal c brown, do me p square, nk Zimechuja sababu ya kupendwa na kusikilizwa sana Diamond is a hell of a musician
Kwenye masharehe kama harusi kichen part n.k hata kwny vyombo vya usafiri nyimbo za mond ndo zinapigwa sana ukilinganisha na za kiba sasa huwa najiuliza uyu wanaedai nyimbo zake zinachuja haraka mbn ndo zipo juu kwny izi angle.
 
Kutoa nyimbo nyingi kwa mpigo kunaweza kufanya nyimbo ikashuka | kuchuja lakini inategemea na uzuri wa nyimbo hizo na ubora wake.
 
Kwa sasa anafanya kazi kwa presha kubwa sana anajikuta anachapia baadhi ya kazi
 
Zina expire kwako......mimi jamani napenda nyimbo za Diamond mpaka alizoshirikishwa zinanivutia hatari na kila siku lazima nizisikilize

Mdogo wangu huwa ananishangaa sana maana nyimbo za bongo nazipenda za diamond tu kidogo na king kiba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…