Kwanini Nyimbo za Diamond Zinawahi Kuexpire?

sio za mondi tuu hata za wakongo, wabongo, wakenya n.i
 
Kwa sababu Mondi anawahi sana kutoa ngoma mpya, mfano leo Kiba akiamua kutoa ngoma mpya basi seduce me watu wataisahau
 
nimeipenda point yako eti zinaombwa katika masherehe hahahahahahaha
 
Huyu kijana anajituma sana kwenye kazi yake. Ila ELIMU ni muhimu kwakweli anatoa nyimbo bila mpango! Wakati mwingine unasikia katoa ngoma hujaitazama ana nyingine.

Angejifunza namna ya kufanya biashara angepiga pesa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…