Ibilisi
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,465
- 5,578
Ugumu wa maisha. Waafrika hatuzidiani nao sana hao jamaa kwa chuki na roho mbaya kwa sababu wote tuna maisha magumu, japo sisi tumezidi hasa kwa sababu magumu yetu yapo juu zaidi.
Umasikini na chuki + roho mbaya ni kama chupi na tako. Hata ushirikina upo kwa masikini. Jamii za matajiri hazina ujinga huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini na chuki + roho mbaya ni kama chupi na tako. Hata ushirikina upo kwa masikini. Jamii za matajiri hazina ujinga huo.
Sent using Jamii Forums mobile app