hizi habari ulizo ziandika hapa , mwanaspoti kaziandika sana mkuu.
but issue za bifu kwa wachezaji zinatengenezwa na conflict of intetest miongoni mwa wachezaji na sio utaifa,ukanda ama utaifa.
mfano :van nesterlooy vs Ronaldo (man united)
Ronaldo vs Raul gonzalez
William gallas vs kolo toure