Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 564
- 593
Kwenye matangazo mengi, mf. Kupatana, Facebook market n.k, utakuta matangazo mengi ya nyumba zinazouzwa zipo Mbagala Chamazi.
Ni kwanini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?
Ni kwanini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?