Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Incomplete research! Fatilia kwanza wanaouza Wana sifa gani. Wazaramo Hao, ndio haohao waliiuza Kariakoo.. Wakahamia Ilala, wakaiuza Ilala wakaenda Chanika. Wanaouza hiyo Chamazi wanaenda kununua Kiponza. Na Kiponza ikianza kuchangamka Wanauza wanaenda SweleleWajuzi wa mambo habari zenu.
Nimefatilia sana nyumba za mtandaoni nimegundua nyumba nyingi zinauzwa Mbagala, Chamazi, Chanika, nmejiuliza sana sijapata jibu naombeni majibu wakuu.
Nawasilisha