Mbute na chai
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 564
- 593
Mkuu hizo ni nyumba zisizochukua muda kukamilika na kama utamchukua mkaguzi wa majengo jibu atakalokupa ni kuamuru kubomoa tu haifai kwa matumizi ya binadamu. Nyumba zinajengwa kwa ajili ya biashara na sio kuishi wao.Kwenye matangazo mengi, mf. Kupatana, Facebook market n.k, utakuta matangazo mengi ya nyumba zinazouzwa zipo Mbagala Chamazi.
Ni kwa nini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?
[emoji1][emoji1][emoji1]Wanakimbia uswahili..walijenga wakidhani ni ushuani kumbe uswahili mtupu.
Kuishi na jamii za kiswahili low minded people yataka moyo..kila wikiendi hakuna kulala ni mwendo wa vigoma tu.
#MaendeleoHayanaChama
Kigamboni hakuna mambo hayooAisee. Hadi Kigamboni kuna Uswahili? Nilifikiri kule ni ushuani!
Ni nyumba ambazo hazina quality kuanzia tofali, plasta, bati ,rangi na vitu vyote.... Kwahiyo haushauriwi kununua nyumba za aina hiyoKwenye matangazo mengi, mf. Kupatana, Facebook market n.k, utakuta matangazo mengi ya nyumba zinazouzwa zipo Mbagala Chamazi.
Ni kwa nini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?
Hadi Kigamboni Tena?Chanika, mbagala, mkuranga, vikindu, kigamboni invest at your own risk
Hadi Kigamboni tena!Chanika, mbagala, mkuranga, vikindu, kigamboni invest at your own risk
Ukiingia hilo chaka jiandae kujenga upya!nyingi ni jenga uza,
shimo la choo ni futi 4
matofali ya udongo, ila plasta kalii
nyaya za umeme ni zile za rangi rangi za spika za sh.500 kwa mita
kenchi za mbao za minazi ambazo hazijakomaa vizuri
kua makini
Wengi ni kutaka mtelezo, "duuh hii nyumba bei rahisi"Ukiingia hilo chaka jiandae kujenga upya!
Ujenzi wa kule ni rahisi sana nashangaa wanashindwa nini kujenga nyumba imara.