Bufa
JF-Expert Member
- Mar 31, 2012
- 12,599
- 26,263
Bongo mmeambiwa wimbo wa taifa ni tunu. Bendera ni tunu mtu binafsi hapaswi kuwa nayo matokeo yake watu wanavaa bendera za marekani na mataifa mengine kuliko bendera yao. Wimbo wa taifa baada ya shule ya msingi mtu huusikii wala kuuimba tena wakati kiwanja kila kona wimbo wataifa unaimbwa. Mgeni akifika leo by next wk tayari anaijua the star spangled banner yote. Bado mnajiuliza kwanini watu sio wazalendo wakati mnawakataza wasiwe proud na tunu zao za taifa. Nchi ya kipumbavu sana hii.