tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Tangu suala la ushoga lianze kutikisa hapa nchini na kutua bungeni, umepita takribani mwezi mmoja sasa lakini cha ajabu bado hatujaletewa orodha ya wabunge wasenge waliobainika baada ya zoezi la upimaji.
Mara zote wabunge wamekuwa mstari wa mbele kuficha mambo yanayowahusu moja kwa moja. Mfano mzuri ni tukio la hivi karibuni ambalo mbunge (na naibu waziri) alihusika kwenye ajali iliyosababisha kufa kwa kimada wake mwanafunzi. Badala ya kuweka jambo hili hadharani, mbunge huyo alitumia nguvu nyingi sana kuwatuma polisi kukanusha. Kibaya zaidi, baada ya wabunge kupimwa usenge, wameamua tena kukalia majibu! Safari hii hatuwezi kukaa kimya. Tunataka orodha ya wabunge wasenge iwekwe wazi ili wapigakura wao tuwajue mapema kabla ya 2025. Kwaini orodha hii inafichwa? Kigugumizi hiki kinasababishwa na nini?
Kama wananchi tukiendelea kukaa kimya, huu mchezo wa kufichana utaendelea hadi Yesu atakaporudi. Hii sio sawa na wala sio haki hata kidogo. Kwa kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi, haifai kuficha majibu yao. Majibu lazima yawekwe wazi kwenye tovuti ya bunge ili wananchi waweze kuyaona na kutambua kama wabunge wao ni wasenge au la.
MAONI YANGU
Kwa kuwa vipimo vya usenge miongoni mwa wabunge vilifanyika muda mrefu, ni wazi kuwa majibu yatakuwa tayari. Hatutakubali kuona uongozi wa bunge ukikaa kimya kana kwamba upimaji bado haujakamilika. Tunajua upimaji tayari na majibu yametoka. Ni bora tuwajue mapema hawo wasenge ili tusiwarejeshe bungeni mwaka 2025. Hatutaki kuona bunge letu linanajisiwa na wasenge halafu tukakaa kimya.
Tazama video ifuatayo ujikumbushe kilichozungumzwa siku hiyo na hatua za upimaji zilizofuata. Halafu huyu Msukuma mbona anapinga sana suala la upimaji? Huyu inapaswa apimwe kwa nguvu. Isije ikawa anataka kufunika kombe mwanaharamu apite.
Mara zote wabunge wamekuwa mstari wa mbele kuficha mambo yanayowahusu moja kwa moja. Mfano mzuri ni tukio la hivi karibuni ambalo mbunge (na naibu waziri) alihusika kwenye ajali iliyosababisha kufa kwa kimada wake mwanafunzi. Badala ya kuweka jambo hili hadharani, mbunge huyo alitumia nguvu nyingi sana kuwatuma polisi kukanusha. Kibaya zaidi, baada ya wabunge kupimwa usenge, wameamua tena kukalia majibu! Safari hii hatuwezi kukaa kimya. Tunataka orodha ya wabunge wasenge iwekwe wazi ili wapigakura wao tuwajue mapema kabla ya 2025. Kwaini orodha hii inafichwa? Kigugumizi hiki kinasababishwa na nini?
Kama wananchi tukiendelea kukaa kimya, huu mchezo wa kufichana utaendelea hadi Yesu atakaporudi. Hii sio sawa na wala sio haki hata kidogo. Kwa kuwa wabunge ni wawakilishi wa wananchi, haifai kuficha majibu yao. Majibu lazima yawekwe wazi kwenye tovuti ya bunge ili wananchi waweze kuyaona na kutambua kama wabunge wao ni wasenge au la.
MAONI YANGU
Kwa kuwa vipimo vya usenge miongoni mwa wabunge vilifanyika muda mrefu, ni wazi kuwa majibu yatakuwa tayari. Hatutakubali kuona uongozi wa bunge ukikaa kimya kana kwamba upimaji bado haujakamilika. Tunajua upimaji tayari na majibu yametoka. Ni bora tuwajue mapema hawo wasenge ili tusiwarejeshe bungeni mwaka 2025. Hatutaki kuona bunge letu linanajisiwa na wasenge halafu tukakaa kimya.
Tazama video ifuatayo ujikumbushe kilichozungumzwa siku hiyo na hatua za upimaji zilizofuata. Halafu huyu Msukuma mbona anapinga sana suala la upimaji? Huyu inapaswa apimwe kwa nguvu. Isije ikawa anataka kufunika kombe mwanaharamu apite.