Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Zamani nilidhani neno "Msenge" halisemwi hadharani, kumbe hata bungeni linatamkwa....
Ni neo la kawaida sana mkuu. Hatutaki kumumunya maneno kwa kuita koleo kijiko kikubwa!
 
Walichimbwa mkwara na wakubwa wa dunia wakaona isiwe tabu wacha kila mmoja apambane na Hali yake
 
Mashoga na wasagaji ama ?
Kama ni vyote basi nchi itatikisika
Wote lazima wapimwe na majibu yatolewe hadharani mkuu. Ushoga na usagaji ni kinyume cha sheria za nchi yetu.
 
Hawa makada wa CCM wanapiga kazi sana bunge hili wapewe maua yao
FB_IMG_1683696434727.jpg
 
Mambo mengine yaache kama yalivyo , au ongelea huku chini chini ukipanda step ndo utajua hujui
Mkuu kwa hiyo tuache mambo yaendelee kuwa ovyo ovyo kwa kuogopa kupotezwa?
 
Yaani watanzania ni viumbe wa kuonea huruma tu!!yaani tabu zote zilizokujaa,ambazo zina kuathiri moja kwa moja na bunge liko kimya unakimbilia eti USHOGA?halafu wakishajulikana itakusaidia nini??Ninacho shukuru Rais aliuchuna tu na akawapa makavu,na mjadala ukafia hapo hapo!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji106]
 
Ila kuna mambo ukiyafikiria sana unaishia tu KUCHEKA kama "taahira"[emoji1787]

Hivi faragha kikatiba haihusishi kuheshimu MIILI ya WATU ,HESHIMA YAKE NA USIRI WAKE ?!!!

Tanzania itakuwa ya kwanza duniani kuwapima watu kwa nguvu huo "usenge" [emoji1787][emoji1787]

Isitoshe tu kwa madaktari kufanya vipimo hivyo pale panapokuwa na "UNAJISI" ambako ni kinyume cha sheria......leo hii yatokee "mababa" yashadadie huku mitaani watu wapimwe USENGE ?!!

Kama huku mitaani itakuwa ni "laughing stock" leo hii iwe kwa WAHESHIMIWA WABUNGE?!!!

Yaani kabisa waheshimiwa hao wapandishwe vitandani kizamu... watoa huduma ya afya wetu wavae mipira ya mikono(gloves) ,wanyunyizie vilainishi katika "madole yao... yang'ae mng'ao wa KY-JELLY" halafu ( DIGITAL RECTAL EXAMINATION-DRE) ifanyike kisha majibu tuletewe wananchi kuwa "fulani na fulani" ni MADHEHA ,"VYATOKA" "BISCUIT LAINI YA KUMEZA TU" "MCHICHA MWIBA" "MCHELEMCHELE" "WALI NAZI" "ASALI-MAZIWA NA PARACHICHI" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


HEBU TUWENI MAKINI NA MAMBO MAKINI JAMANI

#SIEMPREJMT[emoji120]
Usiogope. Kapime tujue kama uliingiliwa mara ngapi
 
Back
Top Bottom