Ila kuna mambo ukiyafikiria sana unaishia tu KUCHEKA kama "taahira"[emoji1787]
Hivi faragha kikatiba haihusishi kuheshimu MIILI ya WATU ,HESHIMA YAKE NA USIRI WAKE ?!!!
Tanzania itakuwa ya kwanza duniani kuwapima watu kwa nguvu huo "usenge" [emoji1787][emoji1787]
Isitoshe tu kwa madaktari kufanya vipimo hivyo pale panapokuwa na "UNAJISI" ambako ni kinyume cha sheria......leo hii yatokee "mababa" yashadadie huku mitaani watu wapimwe USENGE ?!!
Kama huku mitaani itakuwa ni "laughing stock" leo hii iwe kwa WAHESHIMIWA WABUNGE?!!!
Yaani kabisa waheshimiwa hao wapandishwe vitandani kizamu... watoa huduma ya afya wetu wavae mipira ya mikono(gloves) ,wanyunyizie vilainishi katika "madole yao... yang'ae mng'ao wa KY-JELLY" halafu ( DIGITAL RECTAL EXAMINATION-DRE) ifanyike kisha majibu tuletewe wananchi kuwa "fulani na fulani" ni MADHEHA ,"VYATOKA" "BISCUIT LAINI YA KUMEZA TU" "MCHICHA MWIBA" "MCHELEMCHELE" "WALI NAZI" "ASALI-MAZIWA NA PARACHICHI" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
HEBU TUWENI MAKINI NA MAMBO MAKINI JAMANI
#SIEMPREJMT[emoji120]