Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Kwanini orodha ya wabunge mashoga inafichwa?

Ila kuna mambo ukiyafikiria sana unaishia tu KUCHEKA kama "taahira"[emoji1787]

Hivi faragha kikatiba haihusishi kuheshimu MIILI ya WATU ,HESHIMA YAKE NA USIRI WAKE ?!!!

Tanzania itakuwa ya kwanza duniani kuwapima watu kwa nguvu huo "usenge" [emoji1787][emoji1787]

Isitoshe tu kwa madaktari kufanya vipimo hivyo pale panapokuwa na "UNAJISI" ambako ni kinyume cha sheria......leo hii yatokee "mababa" yashadadie huku mitaani watu wapimwe USENGE ?!!

Kama huku mitaani itakuwa ni "laughing stock" leo hii iwe kwa WAHESHIMIWA WABUNGE?!!!

Yaani kabisa waheshimiwa hao wapandishwe vitandani kizamu... watoa huduma ya afya wetu wavae mipira ya mikono(gloves) ,wanyunyizie vilainishi katika "madole yao... yang'ae mng'ao wa KY-JELLY" halafu ( DIGITAL RECTAL EXAMINATION-DRE) ifanyike kisha majibu tuletewe wananchi kuwa "fulani na fulani" ni MADHEHA ,"VYATOKA" "BISCUIT LAINI YA KUMEZA TU" "MCHICHA MWIBA" "MCHELEMCHELE" "WALI NAZI" "ASALI-MAZIWA NA PARACHICHI" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


HEBU TUWENI MAKINI NA MAMBO MAKINI JAMANI

#SIEMPREJMT[emoji120]

 
I hope hii ni comedy
Kwa nini ni comedymkuu,sio.Kama tukiruhusu matendo haya ya kishetani kuendelea,wote tutahusika Mungu atakapo shusha hasira yake kwa nchi yetu kama alivyofanya Sodoma na Gomora.Hili kwa hiyo sio swala la mtu binafsi kama mnavyo-dhani,it concerns all of us.So the government must take action,and quickly.
 
Hayo ni Maisha yao binafsi, kwani wanafanya ushoga ndani ya Bunge?
Acheni upofu na ufirauni. Kama tukiruhusu matendo haya ya kishetani kuendelea, wote tutahusika Mungu atakapo shusha hasira yake kwa nchi yetu kama alivyofanya Sodoma na Gomora. Hili kwa hiyo sio swala la mtu binafsi kama mnavyo-dhani, it concerns all of us. So the government must take action, and quickly.
 
Hayo ni Maisha yao binafsi, kwani wanafanya ushoga ndani ya Bunge?
Kwani lazima wapumuliane ndani ya bunge ndipo liwekosa mkuu? What is the logic behind your argument?
 
Lakini huwezi kulitamka ukiwa katika mazingira ya kanisani au hata nyumbani.
Unalitamka tena vizuri tu mkuu. Ikiwa wewe ni mhubiri ukifika kwenye mistari hii 👇 👇 👇 utairuka au utaisomaje?
1683819201761.png
 

Attachments

  • 1683818917773.png
    1683818917773.png
    6.8 KB · Views: 6
Usiogope. Kapime tujue kama uliingiliwa mara ngapi
Baba yako amenitisha anasema vidole vya dokta ni vikubwa sana vimemuumiza na anakaribia kutokwa damu unataka nami niwe zwazwa kama baba yako mzee Joseph?!!!!
 
Ila kuna mambo ukiyafikiria sana unaishia tu KUCHEKA kama "taahira"[emoji1787]

Hivi faragha kikatiba haihusishi kuheshimu MIILI ya WATU ,HESHIMA YAKE NA USIRI WAKE ?!!!

Tanzania itakuwa ya kwanza duniani kuwapima watu kwa nguvu huo "usenge" [emoji1787][emoji1787]

Isitoshe tu kwa madaktari kufanya vipimo hivyo pale panapokuwa na "UNAJISI" ambako ni kinyume cha sheria......leo hii yatokee "mababa" yashadadie huku mitaani watu wapimwe USENGE ?!!

Kama huku mitaani itakuwa ni "laughing stock" leo hii iwe kwa WAHESHIMIWA WABUNGE?!!!

Yaani kabisa waheshimiwa hao wapandishwe vitandani kizamu... watoa huduma ya afya wetu wavae mipira ya mikono(gloves) ,wanyunyizie vilainishi katika "madole yao... yang'ae mng'ao wa KY-JELLY" halafu ( DIGITAL RECTAL EXAMINATION-DRE) ifanyike kisha majibu tuletewe wananchi kuwa "fulani na fulani" ni MADHEHA ,"VYATOKA" "BISCUIT LAINI YA KUMEZA TU" "MCHICHA MWIBA" "MCHELEMCHELE" "WALI NAZI" "ASALI-MAZIWA NA PARACHICHI" [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


HEBU TUWENI MAKINI NA MAMBO MAKINI JAMANI

#SIEMPREJMT[emoji120]
Mihemko ikizidi huwa mtu anaongea vitu vya ovyo
 
Mkuu hili jambo liliibuliwa na wabunge wenyewe na walisema wapo serious wanataka kuonesha mfano kwa wapiga kura wao. Kwanini wewe unataka kuwakatisha tamaa wasitoea majawabu na orodha yao hadharani? Hili jambo sio la mzaha. Ni lazima wapigakura tujulishwe kuhusu afya za wabunge wetu.
Sasa mkuu utathibitisha vipi kama kweli wamepimwa billa wewe kushuhudia KWA macho yako?
 
Tanzania na maadili yake.
Wabunge,madiwani, madaktari, walimu wote wapimwe.
Yes. Zoezi hili ni vema likahusisha makundi yote katika jamii.
 
Sasa mkuu utathibitisha vipi kama kweli wamepimwa billa wewe kushuhudia KWA macho yako?
Mkuu sikiliza hotuba ya bunge hapo juu. Walikubaliana siku iliyofuata wakapimwe wote, wake kwa waume, bila shuruti.
 
Mkuu sikiliza hotuba ya bunge hapo juu. Walikubaliana siku iliyofuata wakapimwe wote, wake kwa waume, bila shuruti.
Sijakataa wewe KWA akili tu ya kawaida unahisi hilo jambo linawezekana wakalifanya billa kuweka mihemko tuwe honest unaweza hilo jambo linawezekana?
 
Sijakataa wewe KWA akili tu ya kawaida unahisi hilo jambo linawezekana wakalifanya billa kuweka mihemko tuwe honest unaweza hilo jambo linawezekana?
Linawezekan kwa sababu vipimo vinafanyika bure bila malipo yoyote. Watakwama wapi?
 
Kwahiyo wakiwekwa wazi ndo ushoga utaisha?
Tutawafahamu mashoga na kuwatenga katika jamii. Hii itafanya watu waogope kujiingiza kwenye usenge na usagaji.
 
Linawezekan kwa sababu vipimo vinafanyika bure bila malipo yoyote. Watakwama wapi?
Mimi mtanzania wa kawaida nitathibitisha vipi kama kweli wamepimwa au watatuletea makaratasi ya madaktari na vipi kama ni michezo imetungwa? Wewe utathibitisha vipi kama wabungwe wameingiziwa vidole na kupimwa kweli? Hivi mkuu unadhani ni kitu rahisi hivyo?😂😂
 
Back
Top Bottom