Kwanini pamoja na Mimi kuwa ni mwana Simba SC, ila namtakia Kila la Kheri Mwamba Fiston Mayele huko alikoenda Pyramid FC?

Kwanini pamoja na Mimi kuwa ni mwana Simba SC, ila namtakia Kila la Kheri Mwamba Fiston Mayele huko alikoenda Pyramid FC?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Alizaliwa kuwa ni Mfungaji mahiri na siyo Mshambuliaji kama wengi walioko.

2. Amekuwa ni Alama tukuka ya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania hasa kwa Ushangiliaji wake wenye Mvuto na wa Kibabe ( Kishujaa ) kabisa.

3. Amesaidia kwa 85% kuifanya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania kuwa na Mvuto na Kufuatiliwa hata na nchi Jirani na nyinginezo nyingi za Afrika

4. Ametuonyesha kwa Vitendo kuwa Tanzania tuna Washambuliaji tu pekee ila hatuna Wafungaji Tukuka kama alivyokuwa Yeye.

5. Nilivutiwa zaidi na aina ya Nidhamu yake ya Kimaisha ( hasa nje ya Uwanja ) iliyokuwa nzuri huku akitumia muda mwingi kwa Kusali tofauti na Wenzake wengi wakigombania Makahaba ( Malaya ) wa Juliana na Beach Kidimbwi wakiongozwa na mpenda Kuvaa Bukta yake Kata K ila mmwaga Maji mzuri kutokea Kulia na Msuka Nywele mwenye Dimba lake.

6. Hakupenda asifiwe Yeye bali isifiwe Timu nzima tofauti na Yule Kigulu wa Simba SC aliyetuvuruga hapa Juzi kati ambaye anapenda Timu ikipata Mafanikio awe anaimbwa Yeye ili Kichwa Kimvimbe na akinywa Bia zake Mikocheni B kwa Warioba na Mbezi Beach Rainbow hadi anaweka Bond Simu yake.

7. Ameiheshimisha Tanzania na Watanzania kuliko hata nchi yake ya Asili ya Congo DR

Ni mwana Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) na Mpumbavu ( Moron ) tu ndiyo atashupaza Shingo yake na Kukataa kuwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele kwa pamoja alikuwa ni Mshambuliaji na Mfungaji mahiri ambaye huenda ikatuchukua tena Watanzania na Ligi Kuu yetu ya NBC kumpata Mtu kama Yeye japo nakiri kuwa wapo ila uwezo wao ni wa Kawaida ukiulinganisha na alionao Yeye.

GENTAMYCINE nichukue nafasi hii adhimu nikiwa kama Mshabiki lia lia na Kindakindaki wa Simba SC kumtakia Mafanikio makubwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele huko aendako Pyramid FC, Mwenyezi Mungu amtangulie na kama Mdau tukuka wa Michezo nasema Asante Kwake na nitamkumbuka mno japo Katunyoosha sana Simba SC yangu kws Kutufunga Magoli yake ya Akili na yasiyo na Shaka kama siyo Ulakini kabisa.
 
1. Alizaliwa kuwa ni Mfungaji mahiri na siyo Mshambuliaji kama wengi walioko.

2. Amekuwa ni Alama tukuka ya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania hasa kwa Ushangiliaji wake wenye Mvuto na wa Kibabe ( Kishujaa ) kabis...
Duh hiyo namba 6!
 
Aisee hata mi Simba ila Mayele alikamilika,ufungaji,nidhamu , kwenye mechi asipokuwepo inakuwa ngumu,akiingia tu anabadili matokeo, ana bahati kutokuwa na majeraha. Jamaa ni mtu na nusu
 
[emoji23][emoji23]
1688569789115.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mkuu nmekupa like bila kusoma, nmesoma nmekupa comment hii " hapa umeongea" nikisoma tena tuma namba nkuunge bando la mwezi
 
Ila Mzamiru alimshika kiuno tu akataka kurusha ngumi 🤣😂🤣

Sisi uto tunasikitika pamoja na wazee wetu kumuimbia happy birthday bado kaamua atuache. Nyota yake tushampa Ngushi
 
1. Alizaliwa kuwa ni Mfungaji mahiri na siyo Mshambuliaji kama wengi walioko.

2. Amekuwa ni Alama tukuka ya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania hasa kwa Ushangiliaji wake wenye Mvuto na wa Kibabe ( Kishujaa ) kabisa.

3. Amesaidia kwa 85% kuifanya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania kuwa na Mvuto na Kufuatiliwa hata na nchi Jirani na nyinginezo nyingi za Afrika

4. Ametuonyesha kwa Vitendo kuwa Tanzania tuna Washambuliaji tu pekee ila hatuna Wafungaji Tukuka kama alivyokuwa Yeye.

5. Nilivutiwa zaidi na aina ya Nidhamu yake ya Kimaisha ( hasa nje ya Uwanja ) iliyokuwa nzuri huku akitumia muda mwingi kwa Kusali tofauti na Wenzake wengi wakigombania Makahaba ( Malaya ) wa Juliana na Beach Kidimbwi wakiongozwa na mpenda Kuvaa Bukta yake Kata K ila mmwaga Maji mzuri kutokea Kulia na Msuka Nywele mwenye Dimba lake.

6. Hakupenda asifiwe Yeye bali isifiwe Timu nzima tofauti na Yule Kigulu wa Simba SC aliyetuvuruga hapa Juzi kati ambaye anapenda Timu ikipata Mafanikio awe anaimbwa Yeye ili Kichwa Kimvimbe na akinywa Bia zake Mikocheni B kwa Warioba na Mbezi Beach Rainbow hadi anaweka Bond Simu yake.

7. Ameiheshimisha Tanzania na Watanzania kuliko hata nchi yake ya Asili ya Congo DR

Ni mwana Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) na Mpumbavu ( Moron ) tu ndiyo atashupaza Shingo yake na Kukataa kuwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele kwa pamoja alikuwa ni Mshambuliaji na Mfungaji mahiri ambaye huenda ikatuchukua tena Watanzania na Ligi Kuu yetu ya NBC kumpata Mtu kama Yeye japo nakiri kuwa wapo ila uwezo wao ni wa Kawaida ukiulinganisha na alionao Yeye.

GENTAMYCINE nichukue nafasi hii adhimu nikiwa kama Mshabiki lia lia na Kindakindaki wa Simba SC kumtakia Mafanikio makubwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele huko aendako Pyramid FC, Mwenyezi Mungu amtangulie na kama Mdau tukuka wa Michezo nasema Asante Kwake na nitamkumbuka mno japo Katunyoosha sana Simba SC yangu kws Kutufunga Magoli yake ya Akili na yasiyo na Shaka kama siyo Ulakini kabisa.
maneno mazuri sana na mimi nimekutana nae mara nyingi kanisani,oysterbay

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Sisi kama simba tutaongea vizuriii na pyramid kuhusu maele
 
1. Alizaliwa kuwa ni Mfungaji mahiri na siyo Mshambuliaji kama wengi walioko.

2. Amekuwa ni Alama tukuka ya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania hasa kwa Ushangiliaji wake wenye Mvuto na wa Kibabe ( Kishujaa ) kabisa.

3. Amesaidia kwa 85% kuifanya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania kuwa na Mvuto na Kufuatiliwa hata na nchi Jirani na nyinginezo nyingi za Afrika

4. Ametuonyesha kwa Vitendo kuwa Tanzania tuna Washambuliaji tu pekee ila hatuna Wafungaji Tukuka kama alivyokuwa Yeye.

5. Nilivutiwa zaidi na aina ya Nidhamu yake ya Kimaisha ( hasa nje ya Uwanja ) iliyokuwa nzuri huku akitumia muda mwingi kwa Kusali tofauti na Wenzake wengi wakigombania Makahaba ( Malaya ) wa Juliana na Beach Kidimbwi wakiongozwa na mpenda Kuvaa Bukta yake Kata K ila mmwaga Maji mzuri kutokea Kulia na Msuka Nywele mwenye Dimba lake.

6. Hakupenda asifiwe Yeye bali isifiwe Timu nzima tofauti na Yule Kigulu wa Simba SC aliyetuvuruga hapa Juzi kati ambaye anapenda Timu ikipata Mafanikio awe anaimbwa Yeye ili Kichwa Kimvimbe na akinywa Bia zake Mikocheni B kwa Warioba na Mbezi Beach Rainbow hadi anaweka Bond Simu yake.

7. Ameiheshimisha Tanzania na Watanzania kuliko hata nchi yake ya Asili ya Congo DR

Ni mwana Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) na Mpumbavu ( Moron ) tu ndiyo atashupaza Shingo yake na Kukataa kuwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele kwa pamoja alikuwa ni Mshambuliaji na Mfungaji mahiri ambaye huenda ikatuchukua tena Watanzania na Ligi Kuu yetu ya NBC kumpata Mtu kama Yeye japo nakiri kuwa wapo ila uwezo wao ni wa Kawaida ukiulinganisha na alionao Yeye.

GENTAMYCINE nichukue nafasi hii adhimu nikiwa kama Mshabiki lia lia na Kindakindaki wa Simba SC kumtakia Mafanikio makubwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele huko aendako Pyramid FC, Mwenyezi Mungu amtangulie na kama Mdau tukuka wa Michezo nasema Asante Kwake na nitamkumbuka mno japo Katunyoosha sana Simba SC yangu kws Kutufunga Magoli yake ya Akili na yasiyo na Shaka kama siyo Ulakini kabisa.
Kuondoka kwake kumekushusha presha
 
1. Alizaliwa kuwa ni Mfungaji mahiri na siyo Mshambuliaji kama wengi walioko.

2. Amekuwa ni Alama tukuka ya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania hasa kwa Ushangiliaji wake wenye Mvuto na wa Kibabe ( Kishujaa ) kabisa.

3. Amesaidia kwa 85% kuifanya Ligi Kuu ya NBC ya Tanzania kuwa na Mvuto na Kufuatiliwa hata na nchi Jirani na nyinginezo nyingi za Afrika

4. Ametuonyesha kwa Vitendo kuwa Tanzania tuna Washambuliaji tu pekee ila hatuna Wafungaji Tukuka kama alivyokuwa Yeye.

5. Nilivutiwa zaidi na aina ya Nidhamu yake ya Kimaisha ( hasa nje ya Uwanja ) iliyokuwa nzuri huku akitumia muda mwingi kwa Kusali tofauti na Wenzake wengi wakigombania Makahaba ( Malaya ) wa Juliana na Beach Kidimbwi wakiongozwa na mpenda Kuvaa Bukta yake Kata K ila mmwaga Maji mzuri kutokea Kulia na Msuka Nywele mwenye Dimba lake.

6. Hakupenda asifiwe Yeye bali isifiwe Timu nzima tofauti na Yule Kigulu wa Simba SC aliyetuvuruga hapa Juzi kati ambaye anapenda Timu ikipata Mafanikio awe anaimbwa Yeye ili Kichwa Kimvimbe na akinywa Bia zake Mikocheni B kwa Warioba na Mbezi Beach Rainbow hadi anaweka Bond Simu yake.

7. Ameiheshimisha Tanzania na Watanzania kuliko hata nchi yake ya Asili ya Congo DR

Ni mwana Simba SC Mwendawazimu ( Mental ) na Mpumbavu ( Moron ) tu ndiyo atashupaza Shingo yake na Kukataa kuwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele kwa pamoja alikuwa ni Mshambuliaji na Mfungaji mahiri ambaye huenda ikatuchukua tena Watanzania na Ligi Kuu yetu ya NBC kumpata Mtu kama Yeye japo nakiri kuwa wapo ila uwezo wao ni wa Kawaida ukiulinganisha na alionao Yeye.

GENTAMYCINE nichukue nafasi hii adhimu nikiwa kama Mshabiki lia lia na Kindakindaki wa Simba SC kumtakia Mafanikio makubwa Mchezaji Fiston Kalala Mayele huko aendako Pyramid FC, Mwenyezi Mungu amtangulie na kama Mdau tukuka wa Michezo nasema Asante Kwake na nitamkumbuka mno japo Katunyoosha sana Simba SC yangu kws Kutufunga Magoli yake ya Akili na yasiyo na Shaka kama siyo Ulakini kabisa.
Umenena vyema kabisa.
 
Tunafanana aisee,
Mayele alikua mtu POA Sana
 
Back
Top Bottom