Kwanini Panya ambaye hajawahi kuona Paka, akimuona anachanganyikiwa?

Kwanini Panya ambaye hajawahi kuona Paka, akimuona anachanganyikiwa?

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,817
Unakuta Panya hajawahi kuona wala kukutana na Paka tangia azaliwe, lakini siku akimuona tu kwa mara ya kwanza anashtuka na kuogopa sana, kwa nini? Nani kamfundisha kuhusu Paka?
 
Hiyo hufanana na kudinda unapoona nyapu au nyuchi kwa mara ya kwanza hasa kwa mwanamume, ni sawa na kujiulizai ni maamuzi ya kinyonga kubadili rangi au inatokea tu automatically.
 
Unakuta Panya hajawahi kuona wala kukutana na Paka tangia azaliwe, lkn siku akimuona tu kwa mara ya kwanza anashtuka na kuogopa sana, kwa nini? Nani kamfundisha kuhusu Paka? ...
Ngoja nikujibu mzee.

Sitaongelea kibailojia sana, ntaongelea ktk Energy na senses. Binadamu na viumbe wengine wana sense zinaweza kuhisi energy hasi, hatari, njema, nzuri au mbaya. Mawazo, hisia, matakwa na vitu vingi vinavyo zalishwa na akili na moyo, Hutuma taarifa ktk ulimwengu kama energy, vibes.

Binadam amevuruga sana sense zake hizi kwa ulaji, uvaaji, ulalaji na mtindo wa maisha kiujumla. Ndio maan ni mara chache sana, hizi hisia zinaibuka na kukuonya juu ya taarifa.

Hapo ndipo utakuta hata Nyoka, umelala naye, kalal kando yako, kwa aman kabisa. Maana hapati ku sense vibes za hatari kutok kwako. Lakin pindi ukiwa ktk taharuki ya kutaka kumdhulu basi naye uhisi hizi vibes na kujihami.

Hawa panya, wakikutana na paka mpumbavu, aliyedhulik na malezi ya kulelewa, Wanaanzishia timbwil vizuri tu, kuna mapanya, yakikutan na paka wa kwaida, anayetoa vibes za uoga, basi panya ana pita vizuri tu.

Pili kwa upande wa macho, kuna namna mnyama anayewinda, utazama. Ndio maan ukikutan na wanyam wakali, ili kujihami, hutakiwa kukwepesha macho, ili asikuone wew ni mwepes mwepes, pale unatoa Lugha ya kuwa, Nami nipo vizuri. Sasa hapo, huyo mnyama hataki kubeti kutest nani atamuwind mwenzie.

Lakin endapo unakutam na mnyama usiye taka mawaa naye kwepesha macho,ndio hapo ktk ufundhshaj wa farasi kuna namna ya uangaliaji, hata mbwa akianza kuleta ukali watakiw kukwepesh macho, kuonyesha huna haja ya kumdhulu.

Hivi wajua hata wew ukiw umekaa mtu akikuangalia sana, hata kam ni usingizin utahisi???

So, utazamaji, na vibes huingea lugha kubwa sana ya kusema mimi ni adui au mim ni rafiki
 
Hata ng'ombe wa mjini hata hajui kama kuna kiumbe kinaitwa simba ila Siku akimuona simba anataga vibaya hili ni suala la kiasiri (nature)...mnyama anamtambua mnyama mbaya hata kama ndio Siku ya kwanza kumuona.
 
Ni kama mseminali kurudi mtaani na kukutana na wanawake
 
Na wenyewe usikute huwa wanasimuliana!
 
Big up sana mzee, umetisha.

Unaonekana kuwa na content Sana.
 
Hata vifaranga vilivyo anguliwa leo bandani havijawah kutoka nje hata vikiwa vyenyewe akipita mwewe juu vinakimbia wakati ndio vimeangulia masaa kadhaa tu.
 
Wanyama wana natural senses za kutambua hatari hata kama wamezaliwa leo.

Mtoto wa nyati akizaliwa tu anasimama na kukimbia anapomuona simba hata kama ndio anamuona kwa mara ya kwanza!

Ni natural ability ya utambuzi. Wanaita instincts.
 
Back
Top Bottom