Daah Kumbe vile vya piston 3 vina consumption nzuri sana ya mafuta.mi nina passo ya piston 3 toka 2014, na nina rav 4 pia nimenunua mwaka huu january... ila mara nyingi nikiwa na town trip passo ni choice yangu.. mafuta lita 10 natembelea 180km.. kwa town trip ni nyingi sana... yaani ni sawa na elfu 20 wiki nzima mpaka weekend kwa mtu anaekaa ubungo anafanya kazi posta
Sio kila gari yenye no D Itakua mpya au yenye hali nzuri ila ni kwa sababu imenunuliwa na kufika hapa nchini kipindi ambacho usajili wake kule tra upo kwenye herufi D usinunue gari kwa kigezo cha no D nunua gari kwa kigezo cha uzima wa engine na mwaka iliyotengenezwaMambo vipi wadau.
Leo nilienda showroom maeneo ya Magomeni kuangalia gari ya bei rahisi nikakuta Passo ni milioni 8.5 ndo bei rahisi zaidi. Sasa nikapita mitandaoni kuangalia bei za Passo Used nikaona mpaka milioni 5 unapata tena namba D.
Sasa nataka kujua, kwanini wanauza bei rahisi mitandaoni? Je, ni matapeli au hizi gari ni vimeo?
Hizi mambo zinanitoa mate mpka basi ,ndinga yaani we acha tu una2 yaani maisha...mi nina passo ya piston 3 toka 2014, na nina rav 4 pia nimenunua mwaka huu january... ila mara nyingi nikiwa na town trip passo ni choice yangu.. mafuta lita 10 natembelea 180km.. kwa town trip ni nyingi sana... yaani ni sawa na elfu 20 wiki nzima mpaka weekend kwa mtu anaekaa ubungo anafanya kazi posta