Fuqin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2018
- 306
- 625
Mambo vipi wadau.
Leo nilienda showroom maeneo ya Magomeni kuangalia gari ya bei rahisi nikakuta Passo ni milioni 8.5 ndo bei rahisi zaidi. Sasa nikapita mitandaoni kuangalia bei za Passo Used nikaona mpaka milioni 5 unapata tena namba D.
Sasa nataka kujua, kwanini wanauza bei rahisi mitandaoni? Je, ni matapeli au hizi gari ni vimeo?
Leo nilienda showroom maeneo ya Magomeni kuangalia gari ya bei rahisi nikakuta Passo ni milioni 8.5 ndo bei rahisi zaidi. Sasa nikapita mitandaoni kuangalia bei za Passo Used nikaona mpaka milioni 5 unapata tena namba D.
Sasa nataka kujua, kwanini wanauza bei rahisi mitandaoni? Je, ni matapeli au hizi gari ni vimeo?