Kwanini pesa za mauzo ya wachezaji wa simba zinaingia kwenye account ya mtu binafsi?

Mkuu nadhani wamekuelewa wanachama, wapenzi na mashabiki wa Simba amabo wana dukuduku kuwa hela zao zimeliwa. Kwa haya yanayotokea ningekuwa Mo ningeitisha mchango wa usajili wa wachezaji.



Dah kweli kaka tena sa hv c ndo mambo ya uwekezaji basi inatakiwa kwenye bajet ya usajili MO atoe nusu na hawa 51% watoe nusu.. halafu tuone kama zitafika hata 1B

regards
 
Mimi ni mshabiki wa yanga lkn we ni chizi.....
nani anatoa hela za usajili kuboresha club!!!??
huyo huyo ndio apokee pesa wakati wa mauzo
Sasa kama pesa zinatoka account ya mtu mwingine, mauzo ya mchezaji pesa zinaingizwa account ya mtu mwingine, wale wakaguzi wa nyaraka za kifedha wakija wanakagua nyaraka zipi?
 
Ungetaja jina la akaunti, namba ya akaunti na benki ambayo hiyo fedha imewekwa. Ingekuwa vizuri zaidi ungeonyesha na muamala wa hiyo deposit
 
Utopolo wanatakiwa kujibiwa kulingana na unyani wao. Mnaacha kuhoji za Kisinda mnahoji hela mauzo ya chama na Luis.
 
Wewe tunajua unatumwa na gabachori kuja kufukia maovu yake humu
 
Na yule Barbra akirudi kwao atakuwa ni bilionea kwasababu ya hizi Pesa zetu za simba
 
Hakuna ugonjwa mkubwa duniani kama UMASKINI na uhusiano wa umaskini na uchawi ni mkubwa sana. Wewe kwenye kawaha kupiga domo hujui wachezaji wanasajiliwa vipi na kwa kiasi gani, hujui wanalala wapi na kwa garama gani ,hujui wanatibiwa kwa kiasi gani, hujui safari za timu nje na ndani ya nchi fedha zonatoka wapi halafu unaongea mautopolo hapa?
 
Ukubwa hela sio tantalila , "shikamoo kelele heshima pesa".
 
Mimi ni mshabiki wa yanga lkn we ni chizi.....
nani anatoa hela za usajili kuboresha club!!!??
huyo huyo ndio apokee pesa wakati wa mauzo
Watanzania wengi dhana ya biashara ni sifuri, ujuaji mwingi sheria hiyo umeipata wapi, mbona hauzi wafanyakazi kule mohamedi enterprises? Mo anamiliki simba peke yake? Hivi hujui akikuwa akisajili msimuulize 20bn yenu?
 
Unasema umepigwa umeweka nn kushinda 49%
Hiyo ndo kauli anatumia kupiga pesa pale unyamani coz simba yenyewe tu ni brand kubwa ambayo thamani yake ni zaidi hata ya Pesa aliyosema kainvest.

Ushawahi kujiuliza kwann alishindwa kuwekeza pale African lyon, pamoja na pesa aliyonayo au kule Singida United timu ya kwao na ndio alikuwa mbunge kule.

Ukipata jibu, utakuwa umetambua namna anavyo iba pesa za kutosha bila mbumbumbu kutambua hilo

Mimi ni mjumbe tu
 
Hela nyingi uwa zinajifuata zenyewe ili deal ikibumburuka zirudi. (Uwezi kuweka hela nyingi bila dhamana ya hela nyingi)
 
Mbona kabla yake hatukuona hiyo thamani unayosema leo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…