Kwanini Peter Msigwa anamchukia sana Freeman Mbowe wakati ndiye mtu aliyembeba kisiasa na kumsaidia sana?

Your browser is not able to display this video.

Ni ngumu sana kufahamu rangi halisi ya kinyonga na ndio hivyo ilivyo kwa Msigwa hujui anasimamia wapi.

Tumbocrat with no stand!
 
Unabubujikwa na machozi!
 
Machozi yamerudi mkuu
 
Bananga kachemsha!
 
Hiyo ni kawaida sana kwa Mkinga na Mchagga πŸ˜„

Ni kama wewe Mnyiha na Mdude Mndali πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
ilikuwa ni vyema ungemuuliza tu huko huko kwenye vikao vyenu
 
Anza kububujikwa machozi sasa mkuu , mpaka bakuli za lita 5 , 10 zijae machozi , na ipo dawa ya kuongezea machozi yatoke kwa wingi ukitaka ni pm mkuu, ccm imearibu jamii yetu sana mkuu
CCM ndio chama kilichojaa Matumaini ya mamilioni ya watanzania
 
Lazima amchukie kwasababu alimbeba na mwisho wake umeishia kwenye greens ambako alikuona kama tope
 
Unabubujikwa na machozi ukiwa wapi wewe popoma la Lumumba buku7 fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…