kisumbusi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 795
- 946
je,unaweza kututajai hayo matumaini ya watanzania kwa tafiti zakoCCM ndio chama kilichojaa Matumaini ya mamilioni ya watanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
je,unaweza kututajai hayo matumaini ya watanzania kwa tafiti zakoCCM ndio chama kilichojaa Matumaini ya mamilioni ya watanzania
Kabla sijakujibu mimi waulize hata wazazi wako uone namna watakavyo kupa sifa kedekede za CCMje,unaweza kututajai hayo matumaini ya watanzania kwa tafiti zako
Kamuulize si kahamia chama chenu?!!Ndio maana nauliza ni kwanini ana chuki na hasira kubwa sana na Mheshimiwa Mbowe.
weKabla sijakujibu mimi waulize hata wazazi wako uone namna watakavyo kupa sifa kedekede za CCM
Msigwa hamchukii baba ndubwiNdugu zangu Watanzania,
Mnyonge Mnyongeni lakini Haki yake Mpeni. Ni kweli Mimi Mwashambwa Lucas ni Mwana CCM kindakindaki ,tena mwana chama lialia wa CCM.ambaye kila mtu anafahamu hilo popote pale niwapo.
Lakini Ukweli ni Kuwa sisi wana CCM tuna Amini kabisa kuwa kama kuna mtu amewakuza vijana na wanasiasa wa upinzani hapa Nchini mpaka wakapata umaarufu na majina makubwa .basi hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa upande wa vyama vya Upinzani.
Huyu mtu amekijenga CHADEMA katika mazingira na wakati ambao kila mmoja hakuwa na muda wa kuunga mkono upinzani hasa CHADEMA.amekijenga CHADEMA wakati ambao hakuna mtu au mfanyabiashara au tajiri alikuwa yupo tayari kutoa pesa zake kukisaidia chama hiki. Amekijenga CHADEMA kipindi na wakati ambao hata bendera tu zilikuwa hazipo mitaani na wala kilikuwa hakifahamiki kwa watu wala kuzungumzwa midomoni kwa watu .
Lakini kwa Moyo wa ujasiri na uvumilivu wa hali ya juu na kwa gharama kubwa ya jasho na Damu aliendelea kupambana kuhakikisha anakipeleka chama kwenye Mioyo ya watanzania na kupata uungwaji mkono wa watu. Alihakikisha kuwa anajenga chama kitakacho pata Imani na kuungwa mkono na umma wa watanzania.
Na kweli mafanikio alipata na kweli alitusumbua sana CCM Huku majimboni na kwenye kata pamoja na mitaa hasa ya mijini na kwenye miji CCM tulipata upinzani mkubwa sana . Japo tulishinda na kuendelea kutawala kwa wingi Bungeni na katika mabaraza ya Madiwani katika halmashauri mbalimbali .kwa sababu tu wananchi waliendelea kuwa na imani na sisi na kuangalia yale ambayo tulikuwa tumeyafanya katika utekelezaji wa ilani ya chama chetu cha mapinduzi.
Huyu mtu Mheshimiwa Mbowe amewapigania sana wanasiasa mbalimbali akiwepo Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa kuhakikisha anapata ubunge na hata kumteua Bungeni kuwa waziri kivuli.nafasi iliyoendelea kumpatia nafasi na kujulikana zaidi na watanzania.
Mbowe ndiye aliyempatia na kufanikisha Mheshimiwa Msigwa nafasi ya kugombea Ubunge Iringa Mjini. Na ndiye aliyefanya akashinda ubunge kwa sababu Mheshimiwa Msigwa alikuta tayari chama kimejengwa vyema na kukubalika na kuaminika kwa wananchi mbalimbali na hatimaye kumchagua yeye Mheshimiwa mchungaji Msigwa kuwa Mbunge wake.
Ni ngumu sana kuielezea safari ya mafanikio ya kisiasa ya Mheshimiwa Msigwa bila kuzungumzia Mchango chanya wa hali na mali wa Mheshimiwa Freeman Mbowe. Ni ngumu sana ndugu zangu. Hata katika uchaguzi wa kanda ya Nyasa kulifanyika kazi kubwa sana ya kuhakikisha Mheshimiwa Msigwa anapita na anashinda wakati ule wa awamu ya kwanza.
Ndio maana majina yaliyokuwa pia yanapewa nafasi ya kushinda na kuleta ushindani mkali kama vile Ole Sosopi aliyekuwa makamu mwenyekiti wa BAVICHA yaliwekwa kando. Nasema haya kwa sababu mimi nilikuwa nafuatilia vyema na kwa ukaribu sana uchaguzi ule na kujua kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika kanda hii ya Nyasa kwa hawa wapinzani wetu .
Sasa nashangaa ni kwanini Mheshimiwa Msigwa Anamchukia sana Mheshimiwa Freeman Mbowe kuliko hata shetani. Anamchukia Mheshimiwa Mbowe kuliko hata Lissu ambaye amekuwa mwanasiasa wa Hovyo na wala hakuwa na mchango wala msaada wowote ule katika kushinda kwake ubunge . Maana naye ni wakuja tu CHADEMA na aliikuta CHADEMA ikiwa imejengwa na ina wabunge Bungeni.
Mimi nashangaa kwanini Mchungaji anamchukia Mbowe na kumuunga mkono Lissu. Sasa najiuliza je ataendelea kumuunga mkono lissu na kurejea CHADEMA baada ya lissu kuwa Mwenyekiti? Maana inaonyesha adui yake mkubwa alikuwa ni Mbowe tu. Je ataendelea kuishambulia na kuikosoa CHADEMA ya Lissu rafiki yake au atakaa kimya?
Je anasema nini juu ya lugha chafu na za kibaguzi ambazo zimekuwa zikitolewa na Lissu kumshambulia , kumdhalilisha na kumtweza Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wachungaji wengi na mapadri wanachuki ndani ya nafsi zao, wanajificha wanapokuwa ktk kivuli cha dini, wakiingiq ktk siasa zinajionesha, mfano Dr slaa na MsigwaMsigwa ana elimu duni ndo sababu amekuwa na chuki dhidi ya Mbowe. Pia kutokana na elimu duni hawezi kujenga hoja kisomi kwahiyo huona bora kumshambulia Mbowe ili kuendelea kulinda uwepo wake kwenye siasa. Kuna wanaCCM wengi tu waliotokea upinzani ila huwezi kusikia wakiropoka kama Msigwa. Kina Silinde, Nasary, Bananga, na wengine.
Rais Samia ni kama maji usipoyanywa utayaoga tuuuStori inamuhusu Msigwa dhidi ya Mbowe, sasa huo mstari wa mwisho sijui 'Mama anatosha bla blah blah' unahusikaje hapo?!
Takataka!!.
Things fall apartNdugu zangu Watanzania,
Mnyonge Mnyongeni lakini Haki yake Mpeni. Ni kweli Mimi Mwashambwa Lucas ni Mwana CCM kindakindaki ,tena mwana chama lialia wa CCM.ambaye kila mtu anafahamu hilo popote pale niwapo.
Lakini Ukweli ni Kuwa sisi wana CCM tuna Amini kabisa kuwa kama kuna mtu amewakuza vijana na wanasiasa wa upinzani hapa Nchini mpaka wakapata umaarufu na majina makubwa .basi hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa upande wa vyama vya Upinzani.
Huyu mtu amekijenga CHADEMA katika mazingira na wakati ambao kila mmoja hakuwa na muda wa kuunga mkono upinzani hasa CHADEMA.amekijenga CHADEMA wakati ambao hakuna mtu au mfanyabiashara au tajiri alikuwa yupo tayari kutoa pesa zake kukisaidia chama hiki. Amekijenga CHADEMA kipindi na wakati ambao hata bendera tu zilikuwa hazipo mitaani na wala kilikuwa hakifahamiki kwa watu wala kuzungumzwa midomoni kwa watu .
Lakini kwa Moyo wa ujasiri na uvumilivu wa hali ya juu na kwa gharama kubwa ya jasho na Damu aliendelea kupambana kuhakikisha anakipeleka chama kwenye Mioyo ya watanzania na kupata uungwaji mkono wa watu. Alihakikisha kuwa anajenga chama kitakacho pata Imani na kuungwa mkono na umma wa watanzania.
Na kweli mafanikio alipata na kweli alitusumbua sana CCM Huku majimboni na kwenye kata pamoja na mitaa hasa ya mijini na kwenye miji CCM tulipata upinzani mkubwa sana . Japo tulishinda na kuendelea kutawala kwa wingi Bungeni na katika mabaraza ya Madiwani katika halmashauri mbalimbali .kwa sababu tu wananchi waliendelea kuwa na imani na sisi na kuangalia yale ambayo tulikuwa tumeyafanya katika utekelezaji wa ilani ya chama chetu cha mapinduzi.
Huyu mtu Mheshimiwa Mbowe amewapigania sana wanasiasa mbalimbali akiwepo Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa kuhakikisha anapata ubunge na hata kumteua Bungeni kuwa waziri kivuli.nafasi iliyoendelea kumpatia nafasi na kujulikana zaidi na watanzania.
Mbowe ndiye aliyempatia na kufanikisha Mheshimiwa Msigwa nafasi ya kugombea Ubunge Iringa Mjini. Na ndiye aliyefanya akashinda ubunge kwa sababu Mheshimiwa Msigwa alikuta tayari chama kimejengwa vyema na kukubalika na kuaminika kwa wananchi mbalimbali na hatimaye kumchagua yeye Mheshimiwa mchungaji Msigwa kuwa Mbunge wake.
Ni ngumu sana kuielezea safari ya mafanikio ya kisiasa ya Mheshimiwa Msigwa bila kuzungumzia Mchango chanya wa hali na mali wa Mheshimiwa Freeman Mbowe. Ni ngumu sana ndugu zangu. Hata katika uchaguzi wa kanda ya Nyasa kulifanyika kazi kubwa sana ya kuhakikisha Mheshimiwa Msigwa anapita na anashinda wakati ule wa awamu ya kwanza.
Ndio maana majina yaliyokuwa pia yanapewa nafasi ya kushinda na kuleta ushindani mkali kama vile Ole Sosopi aliyekuwa makamu mwenyekiti wa BAVICHA yaliwekwa kando. Nasema haya kwa sababu mimi nilikuwa nafuatilia vyema na kwa ukaribu sana uchaguzi ule na kujua kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika kanda hii ya Nyasa kwa hawa wapinzani wetu .
Sasa nashangaa ni kwanini Mheshimiwa Msigwa Anamchukia sana Mheshimiwa Freeman Mbowe kuliko hata shetani. Anamchukia Mheshimiwa Mbowe kuliko hata Lissu ambaye amekuwa mwanasiasa wa Hovyo na wala hakuwa na mchango wala msaada wowote ule katika kushinda kwake ubunge . Maana naye ni wakuja tu CHADEMA na aliikuta CHADEMA ikiwa imejengwa na ina wabunge Bungeni.
Mimi nashangaa kwanini Mchungaji anamchukia Mbowe na kumuunga mkono Lissu. Sasa najiuliza je ataendelea kumuunga mkono lissu na kurejea CHADEMA baada ya lissu kuwa Mwenyekiti? Maana inaonyesha adui yake mkubwa alikuwa ni Mbowe tu. Je ataendelea kuishambulia na kuikosoa CHADEMA ya Lissu rafiki yake au atakaa kimya?
Je anasema nini juu ya lugha chafu na za kibaguzi ambazo zimekuwa zikitolewa na Lissu kumshambulia , kumdhalilisha na kumtweza Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Tayari umeshajipotezea points nyingi za kuteuliwa baada ya huu Uzi🤣🤣🤣. No wonder siku zote unapungaga humu kusifia lakini uteuzi holaa kumbe wanakujua ya kwamba kichwani hamnazo kabisaKwani ubaya wa uzi upo wapi?
Wewe ni trash useless! Hizi ni personals na sijui kama Msigwa alikua na wewe chumbani akakuambia kwamba anamchukia FAM! Hii haileti Ajira Kwa Walimu wanaoishinikiza serikali kuwapatia ajira. Taahira weweNdugu zangu Watanzania,
Mnyonge Mnyongeni lakini Haki yake Mpeni. Ni kweli Mimi Mwashambwa Lucas ni Mwana CCM kindakindaki ,tena mwana chama lialia wa CCM.ambaye kila mtu anafahamu hilo popote pale niwapo.
Lakini Ukweli ni Kuwa sisi wana CCM tuna Amini kabisa kuwa kama kuna mtu amewakuza vijana na wanasiasa wa upinzani hapa Nchini mpaka wakapata umaarufu na majina makubwa .basi hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa upande wa vyama vya Upinzani.
Huyu mtu amekijenga CHADEMA katika mazingira na wakati ambao kila mmoja hakuwa na muda wa kuunga mkono upinzani hasa CHADEMA.amekijenga CHADEMA wakati ambao hakuna mtu au mfanyabiashara au tajiri alikuwa yupo tayari kutoa pesa zake kukisaidia chama hiki. Amekijenga CHADEMA kipindi na wakati ambao hata bendera tu zilikuwa hazipo mitaani na wala kilikuwa hakifahamiki kwa watu wala kuzungumzwa midomoni kwa watu .
Lakini kwa Moyo wa ujasiri na uvumilivu wa hali ya juu na kwa gharama kubwa ya jasho na Damu aliendelea kupambana kuhakikisha anakipeleka chama kwenye Mioyo ya watanzania na kupata uungwaji mkono wa watu. Alihakikisha kuwa anajenga chama kitakacho pata Imani na kuungwa mkono na umma wa watanzania.
Na kweli mafanikio alipata na kweli alitusumbua sana CCM Huku majimboni na kwenye kata pamoja na mitaa hasa ya mijini na kwenye miji CCM tulipata upinzani mkubwa sana . Japo tulishinda na kuendelea kutawala kwa wingi Bungeni na katika mabaraza ya Madiwani katika halmashauri mbalimbali .kwa sababu tu wananchi waliendelea kuwa na imani na sisi na kuangalia yale ambayo tulikuwa tumeyafanya katika utekelezaji wa ilani ya chama chetu cha mapinduzi.
Huyu mtu Mheshimiwa Mbowe amewapigania sana wanasiasa mbalimbali akiwepo Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa kuhakikisha anapata ubunge na hata kumteua Bungeni kuwa waziri kivuli.nafasi iliyoendelea kumpatia nafasi na kujulikana zaidi na watanzania.
Mbowe ndiye aliyempatia na kufanikisha Mheshimiwa Msigwa nafasi ya kugombea Ubunge Iringa Mjini. Na ndiye aliyefanya akashinda ubunge kwa sababu Mheshimiwa Msigwa alikuta tayari chama kimejengwa vyema na kukubalika na kuaminika kwa wananchi mbalimbali na hatimaye kumchagua yeye Mheshimiwa mchungaji Msigwa kuwa Mbunge wake.
Ni ngumu sana kuielezea safari ya mafanikio ya kisiasa ya Mheshimiwa Msigwa bila kuzungumzia Mchango chanya wa hali na mali wa Mheshimiwa Freeman Mbowe. Ni ngumu sana ndugu zangu. Hata katika uchaguzi wa kanda ya Nyasa kulifanyika kazi kubwa sana ya kuhakikisha Mheshimiwa Msigwa anapita na anashinda wakati ule wa awamu ya kwanza.
Ndio maana majina yaliyokuwa pia yanapewa nafasi ya kushinda na kuleta ushindani mkali kama vile Ole Sosopi aliyekuwa makamu mwenyekiti wa BAVICHA yaliwekwa kando. Nasema haya kwa sababu mimi nilikuwa nafuatilia vyema na kwa ukaribu sana uchaguzi ule na kujua kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika kanda hii ya Nyasa kwa hawa wapinzani wetu .
Sasa nashangaa ni kwanini Mheshimiwa Msigwa Anamchukia sana Mheshimiwa Freeman Mbowe kuliko hata shetani. Anamchukia Mheshimiwa Mbowe kuliko hata Lissu ambaye amekuwa mwanasiasa wa Hovyo na wala hakuwa na mchango wala msaada wowote ule katika kushinda kwake ubunge . Maana naye ni wakuja tu CHADEMA na aliikuta CHADEMA ikiwa imejengwa na ina wabunge Bungeni.
Mimi nashangaa kwanini Mchungaji anamchukia Mbowe na kumuunga mkono Lissu. Sasa najiuliza je ataendelea kumuunga mkono lissu na kurejea CHADEMA baada ya lissu kuwa Mwenyekiti? Maana inaonyesha adui yake mkubwa alikuwa ni Mbowe tu. Je ataendelea kuishambulia na kuikosoa CHADEMA ya Lissu rafiki yake au atakaa kimya?
Je anasema nini juu ya lugha chafu na za kibaguzi ambazo zimekuwa zikitolewa na Lissu kumshambulia , kumdhalilisha na kumtweza Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Unajua maana ya ukweli ? Kwamba wewe huoni Mdomo wa Lissu namna umekuwa ukitoa lugha za ubaguzi kwa Mheshimiwa Rais?Wewe ni trash useless! Hizi ni personals na sijui kama Msigwa alikua na wewe chumbani akakuambia kwamba anamchukia FAM! Hii haileti Ajira Kwa Walimu wanaoishinikiza serikali kuwapatia ajira. Taahira wewe
Kama Lisu anamtukana Samia hakuna Sheria za nchi akapapelekwa mahakamani? Au kuambiwa ukweli tu Ndio matusi
Kwanini unawaza kuteuliwa tu? Kwani Nchi hii ina watanzania wangapi? Wangapi ni viongozi? Wote tukiwa viongozi ni nani atamuongoza Mwenzake? Ni nani atafanya kazi?Tayari umeshajipotezea points nyingi za kuteuliwa baada ya huu Uzi🤣🤣🤣. No wonder siku zote unapungaga humu kusifia lakini uteuzi holaa kumbe wanakujua ya kwamba kichwani hamnazo kabisa
Nachokuuliza nchi yetu sasa hivi haizingatii utawala wa Sheria?Unajua maana ya ukweli ? Kwamba wewe huoni Mdomo wa Lissu namna umekuwa ukitoa lugha za ubaguzi kwa Mheshimiwa Rais?
Sasa acha uchawa tuone jeuri yako mjini.Kwanini unawaza kuteuliwa tu? Kwani Nchi hii ina watanzania wangapi? Wangapi ni viongozi? Wote tukiwa viongozi ni nani atamuongoza Mwenzake? Ni nani atafanya kazi?
Wewe uliona wapi mtu anakuwa Mchungaji kwa kwenda couse ya week 4 ?.Ndugu zangu Watanzania,
Mnyonge Mnyongeni lakini Haki yake Mpeni. Ni kweli Mimi Mwashambwa Lucas ni Mwana CCM kindakindaki ,tena mwana chama lialia wa CCM.ambaye kila mtu anafahamu hilo popote pale niwapo.
Lakini Ukweli ni Kuwa sisi wana CCM tuna Amini kabisa kuwa kama kuna mtu amewakuza vijana na wanasiasa wa upinzani hapa Nchini mpaka wakapata umaarufu na majina makubwa .basi hakuna mwenye uwezo wa kumfikia Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa upande wa vyama vya Upinzani.
Huyu mtu amekijenga CHADEMA katika mazingira na wakati ambao kila mmoja hakuwa na muda wa kuunga mkono upinzani hasa CHADEMA.amekijenga CHADEMA wakati ambao hakuna mtu au mfanyabiashara au tajiri alikuwa yupo tayari kutoa pesa zake kukisaidia chama hiki. Amekijenga CHADEMA kipindi na wakati ambao hata bendera tu zilikuwa hazipo mitaani na wala kilikuwa hakifahamiki kwa watu wala kuzungumzwa midomoni kwa watu .
Lakini kwa Moyo wa ujasiri na uvumilivu wa hali ya juu na kwa gharama kubwa ya jasho na Damu aliendelea kupambana kuhakikisha anakipeleka chama kwenye Mioyo ya watanzania na kupata uungwaji mkono wa watu. Alihakikisha kuwa anajenga chama kitakacho pata Imani na kuungwa mkono na umma wa watanzania.
Na kweli mafanikio alipata na kweli alitusumbua sana CCM Huku majimboni na kwenye kata pamoja na mitaa hasa ya mijini na kwenye miji CCM tulipata upinzani mkubwa sana . Japo tulishinda na kuendelea kutawala kwa wingi Bungeni na katika mabaraza ya Madiwani katika halmashauri mbalimbali .kwa sababu tu wananchi waliendelea kuwa na imani na sisi na kuangalia yale ambayo tulikuwa tumeyafanya katika utekelezaji wa ilani ya chama chetu cha mapinduzi.
Huyu mtu Mheshimiwa Mbowe amewapigania sana wanasiasa mbalimbali akiwepo Mheshimiwa Mchungaji Peter Msigwa kuhakikisha anapata ubunge na hata kumteua Bungeni kuwa waziri kivuli.nafasi iliyoendelea kumpatia nafasi na kujulikana zaidi na watanzania.
Mbowe ndiye aliyempatia na kufanikisha Mheshimiwa Msigwa nafasi ya kugombea Ubunge Iringa Mjini. Na ndiye aliyefanya akashinda ubunge kwa sababu Mheshimiwa Msigwa alikuta tayari chama kimejengwa vyema na kukubalika na kuaminika kwa wananchi mbalimbali na hatimaye kumchagua yeye Mheshimiwa mchungaji Msigwa kuwa Mbunge wake.
Ni ngumu sana kuielezea safari ya mafanikio ya kisiasa ya Mheshimiwa Msigwa bila kuzungumzia Mchango chanya wa hali na mali wa Mheshimiwa Freeman Mbowe. Ni ngumu sana ndugu zangu. Hata katika uchaguzi wa kanda ya Nyasa kulifanyika kazi kubwa sana ya kuhakikisha Mheshimiwa Msigwa anapita na anashinda wakati ule wa awamu ya kwanza.
Ndio maana majina yaliyokuwa pia yanapewa nafasi ya kushinda na kuleta ushindani mkali kama vile Ole Sosopi aliyekuwa makamu mwenyekiti wa BAVICHA yaliwekwa kando. Nasema haya kwa sababu mimi nilikuwa nafuatilia vyema na kwa ukaribu sana uchaguzi ule na kujua kila kitu kilichokuwa kinaendelea katika kanda hii ya Nyasa kwa hawa wapinzani wetu .
Sasa nashangaa ni kwanini Mheshimiwa Msigwa Anamchukia sana Mheshimiwa Freeman Mbowe kuliko hata shetani. Anamchukia Mheshimiwa Mbowe kuliko hata Lissu ambaye amekuwa mwanasiasa wa Hovyo na wala hakuwa na mchango wala msaada wowote ule katika kushinda kwake ubunge . Maana naye ni wakuja tu CHADEMA na aliikuta CHADEMA ikiwa imejengwa na ina wabunge Bungeni.
Mimi nashangaa kwanini Mchungaji anamchukia Mbowe na kumuunga mkono Lissu. Sasa najiuliza je ataendelea kumuunga mkono lissu na kurejea CHADEMA baada ya lissu kuwa Mwenyekiti? Maana inaonyesha adui yake mkubwa alikuwa ni Mbowe tu. Je ataendelea kuishambulia na kuikosoa CHADEMA ya Lissu rafiki yake au atakaa kimya?
Je anasema nini juu ya lugha chafu na za kibaguzi ambazo zimekuwa zikitolewa na Lissu kumshambulia , kumdhalilisha na kumtweza Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan?
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.