Kwanini Peter Msigwa anamchukia sana Freeman Mbowe wakati ndiye mtu aliyembeba kisiasa na kumsaidia sana?

Stori inamuhusu Msigwa dhidi ya Mbowe, sasa huo mstari wa mwisho sijui 'Mama anatosha bla blah blah' unahusikaje hapo?!
Takataka!!.
 
Msigwa hamchukii baba ndubwi
 
Wachungaji wengi na mapadri wanachuki ndani ya nafsi zao, wanajificha wanapokuwa ktk kivuli cha dini, wakiingiq ktk siasa zinajionesha, mfano Dr slaa na Msigwa
 
Things fall apart

Kada mwenzio huyo
 
Kwani ubaya wa uzi upo wapi?
Tayari umeshajipotezea points nyingi za kuteuliwa baada ya huu Uzi🤣🤣🤣. No wonder siku zote unapungaga humu kusifia lakini uteuzi holaa kumbe wanakujua ya kwamba kichwani hamnazo kabisa
 
Wewe ni trash useless! Hizi ni personals na sijui kama Msigwa alikua na wewe chumbani akakuambia kwamba anamchukia FAM! Hii haileti Ajira Kwa Walimu wanaoishinikiza serikali kuwapatia ajira. Taahira wewe
Kama Lisu anamtukana Samia hakuna Sheria za nchi akapapelekwa mahakamani? Au kuambiwa ukweli tu Ndio matusi
 
Unajua maana ya ukweli ? Kwamba wewe huoni Mdomo wa Lissu namna umekuwa ukitoa lugha za ubaguzi kwa Mheshimiwa Rais?
 
Tayari umeshajipotezea points nyingi za kuteuliwa baada ya huu Uzi🤣🤣🤣. No wonder siku zote unapungaga humu kusifia lakini uteuzi holaa kumbe wanakujua ya kwamba kichwani hamnazo kabisa
Kwanini unawaza kuteuliwa tu? Kwani Nchi hii ina watanzania wangapi? Wangapi ni viongozi? Wote tukiwa viongozi ni nani atamuongoza Mwenzake? Ni nani atafanya kazi?
 
Unajua maana ya ukweli ? Kwamba wewe huoni Mdomo wa Lissu namna umekuwa ukitoa lugha za ubaguzi kwa Mheshimiwa Rais?
Nachokuuliza nchi yetu sasa hivi haizingatii utawala wa Sheria?
Kwamba hujui Kwa mujibu wa katiba na Sheria zetu lugha za kibaguzi au matusi ni kosa na mhusika anapaswa kupelekwa mahakamani? Kwamba kusema Rais ni Mzanzibari kutoka Kizi Mkazi ni kosa na ni ubaguzi? Wewe ni empty box!
 
Wewe uliona wapi mtu anakuwa Mchungaji kwa kwenda couse ya week 4 ?.

Ukiwauliza wakatoliki Padre anapitia michakato ya elimu kwa muda gani utashangaa.

Msigwa ukimpeleka Catholic Church kwa elimu yake atakuwa labda mfagizi wa mabanda ya Nguruwe.

Ukimpeleka Lutheran atakuwa Mwl wa Sunday School.

Akienda Anglican labda Mwl wa Kwaya ya Watoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…