Kwanini pikipiki na baiskeli zinatembea kwa matairi mawili?

Kwanini pikipiki na baiskeli zinatembea kwa matairi mawili?

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu,

Tujuzane hapa kwa nini pikipiki au baiskeli zina uwezo mkubwa wa kutembea kwa matairi mawili tu tena wakati huo inakua imebeba watu wa 2 mpaka wa 3 na haianguki. Kuna physics au mathematics gani imekua applied hapa? Na kwa nini gari lisingekua linatembea kwa matairi mawili tu kama pikipiki?

Jamani wataalam tujuzeni hapa ni uchawi gani umetumika.
 
Mbona mama anambeba mtoto na mzigo kichwani ila anatembea na miguu miwili tu?
 
Brain, body and weight proportionalities control.
 
Wengine wanatumia ungo kabisa, uliza balance wanaipata wapi?
 
hilo dogo engine inakula mafuta tu ukiweka maji inazima inajuaje still inatema oil chafu
 
Pikipiki na Baiskeli hazina jumba tofauti na gari inavikwa jumba(inakuwa na jumba)
 
Kwanini wewe unatembea na miguu miwili kwanini usiwena minne kama Mbuzi??
 
unamaanisha dereva ndie jumba?

8010%20california%20acid%20dipping%20dip%20camaro%20car%20body.jpg


imr.jpg
 
attachment.php
 

Attachments

  • 10646847_10155342051430284_7213467123640922663_n.jpg
    10646847_10155342051430284_7213467123640922663_n.jpg
    44.6 KB · Views: 460
wanacheza na centre of gravity mzeee haswa ukizingatia na load inayokuwa carried,physics application
 
Back
Top Bottom