Kwanini Pogba anapotea kwenye mechi kubwa?

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Je Pogba ni mchezaji wa kawaida? Maana sifa ya mchezaji mkubwa lazma upambane na kuonyesha uwezo kwenye mechi kubwa. Ninii huwa kinamfanya Pogba apotee na kushindwa kung'aa kwenye mechi kubwa kama ya leo dhidi ya Spurs?
 
Jamaa kweli kapotea sana kwenye hiyo game..... hata Matic naona accuracy ya pass na uwezo wa kukaba umeshuka sana.... nahisi mfumo wa kocha hauendani nao.
 
Hivi pogba ni mchezaji mkubwa eeee ujue sijawahi kuona cha ziada alicho nacho huyu mtu
 
pogba kwa ujumla siyo kiungo mkabaji unapompa jukumu la kukaba harafu kwa viungo wajanja wajanja kama wa spurs lazma apotee tu..! pogba acheze km free player pale nyuma tu ya washambuliaje ndo utaona zaid ufundi wake..!! na pia leo kocha nilimshangaa nilijua leo matic, herrera wote wangeanza harafu pogba angecheza juu yao kidogo.! ila hongera spurs wameupga mwng sana
 
yule ni rojo kitambo tu
 
Kuna watu walisema ndio kiungo bora kwa sasa pale EPL nashangaa huu uchukuchuku wakat kuna kiungo bora
 
Si mchezaji yule, nashangaa wanaompa sifa ya mchezaj mkubwa, ni fan wa man utd lkn pale hamna kitu
 
Pogba hakupotea, yeye alicheza kwa kadri alivyoweza ila wapinzani wa MAN U ilikua siku yao Jana, wali utawala mchezo wakicheza ki timu zaidi na bahati ilikua upande wao. Pogba alivyo toka MAN U ilikufa kabisa.Pogba bado anabaki kua kiungo bora kabisa wa ushambuliaji kwa sasa katika EPL na UEFA kwa ujumla. Kufungwa kwa MAN U hakupunguzi ubora wake.
 
Duuuh!! Kuliko KDB?achilia mbali wa La liga,Bundesliga
 
Je Pogba ni mchezaji wa kawaida? Maana sifa ya mchezaji mkubwa lazma upambane na kuonyesha uwezo kwenye mechi kubwa. Ninii huwa kinamfanya Pogba apotee na kushindwa kung'aa kwenye mechi kubwa kama ya leo dhidi ya Spurs?
aisee, jana wapuuzi wamenichania hawa,

kwa jana sanchez pekee alionesha uhai, lukaku naye dah
 

Acha bangi mdogo wangu :Man U walitawala mpira ???. Au una tv yako mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…