Hivi Chuo chake cha Uongo...zi kimefia wapi yarabi?ππPolepole
Ile ilipitiwa na greder la kijani, hivi sasa amejiajiri kwenye ka tuition center kwenye kichochoro Fulani.Hivi Chuo chake cha Uongo...zi kimefia wapi yarabi?ππ
Katika mazingira haya ndio kujua hujui, na mshauri aendelee kuikuza tuition center take mwisho itakuwa shule kamili.Mama kakutana na ndungai privately π, Kabudi na Lukuvi wamevutwa Ikulu , Totally pole pole kabaki Yatima
Of course waondokePolepole ni mwanachadema mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwa nini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata(Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa Kuku
Wengine hatujawahi kuwa chukua chako mapema(ccm).CCM ndio chama cha asili kwa wanasiasa wote nchini!
Wazazi je?!Wengine hatujawahi kuwa chukua chako mapema(ccm).
Hivi Chuo chake cha Uongo...zi kimefia wapi yarabi?ππ
Walikataa tangu enzi hizoπ€.Wazazi je?!
Hao wote ulio wataja ni zao la Jiwe .Polepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
Nadhani Ndungai kaenda kuwasema na kuwataja waliomshawishi, Polepole na Bashiru hawakosi, mama atakuwa kapewa mkanda mzimaMama kakutana na ndungai privately π, Kabudi na Lukuvi wamevutwa Ikulu, Totally pole pole kabaki Yatima
Nasikia yuko njiani kumuona waziri husika atengue zuio la TCRA!Hivi Chuo chake cha Uongo...zi kimefia wapi yarabi?ππ
Gwajima naye kawakimbia, kifo chao ni cha mateso sanaMama kakutana na ndungai privately π, Kabudi na Lukuvi wamevutwa Ikulu, Totally pole pole kabaki Yatima