Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Hahaha! Kiroboto na Muhuni hata wanazungumza?Nasikia yuko njiani kumuona waziri husika atengue zuio la TCRA!
View attachment 2079046
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha! Kiroboto na Muhuni hata wanazungumza?Nasikia yuko njiani kumuona waziri husika atengue zuio la TCRA!
View attachment 2079046
hata magufuli mlimdanganya hivyo hivyo....Mboni ya Watanzania ni Mungu.....let this sink in your head.CCM kimeshavuka kutoka kuwa chama cha HARAKATI.
Polepole na harakati zake azipeleke huko CHADEMA.
#CCM Na Utii Kwa Viongozi Wetu
#Mwenyekiti SSH Ndiye Mboni Yetu
🤣🤣hata magufuli mlimdanganya hivyo hivyo....Mboni ya Watanzania ni Mungu.....let this sink in your head.
Kiroboto mshauri arudi kwenye mjadala wa katiba mpya.,Polepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
Mkuu ujue ukishahamia ndani ya CCM ni vigumu sana kurudi upinzani na ukapata mafanikio kisiasa kama uliyoyapata ukiwa ndani ya CCM! Sababu kubwa sio kwamba CCM ni fundi wa siasa no! bali ukiwa CCM mazingira ya kufanya siasa ni mepesi sana, Rejea wenyeviti, Madiwani na wabunge wote wa CCM walivyosaidiwa kushinda katika uchaguzi mkuu wa 2020 hata pale ambapo hawakutarajia hata kwa muujiza!Polepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
Wanaona aibu kwa usaliti waoPolepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
Unaweza kutuwekea hapa kadi ya Chadema ya Polepole ili kunogesha andiko lako kabambe ?Polepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
Ungewarudisha kama unawezaPolepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
Polepole ni mwana CHADEMA mzuri na hajawahi kurudisha kadi yake, Bashiru ni mwana CUF kindakindaki.
Wenye CCM ni kama hawawataki, kwanini wasiondoke?
Sasa Chenge aliyekatwa na Bashiru na Polepole ndio anakuwa spika. Vifaranga wa bata (Polepole na Bashiru), hawawezi kukaa na vifaranga wa kuku
😍CCM ndio chama cha asili kwa wanasiasa wote nchini!
kumbe ccm si cha watanzania?...inaonekana ulivyomaliza kusoma chekechea ukaacha shule ukadhani ni chuo kikuu🤣🤣
Kuhusu mboni hujaona nimemzungumzia mwenyekiti wa chama chetu bora CCM ?!!
Hao watanzania wamekujaje hapo ?!!!
Unaleta udikteta kutaka kuwafanya watanzania wote wawe wanachama wa vyama vya siasa?!!! Si ndio eee?!!!kumbe ccm si cha watanzania?...inaonekana ulivyomaliza kusoma chekechea ukaacha shule ukadhani ni chuo kikuu
mjinga sana wewe....soma historia ya dunia. madikteta wote huwa wakazi wa ikulu. marais. hiyo pesa ambayo wazazi wako waliitumia kukulipia ada bora wangenywea pombe tu. walitumbukiza chooni. maana hata jambo dogo la darasa la kwanza bado huna ufahamu naloUnaleta udikteta kutaka kuwafanya watanzania wote wawe wanachama wa vyama vya siasa?!!! Si ndio eee?!!!