Ilikua ni maelekezo ya principal za utawala kipind hicho! Nadhan unaelewa hata mkuu alikua on that way, ubabe na nguvu nying then akili kiduchu tuu!!Katika uongozi uliopita kila kitu ilikuwa amri na bunge lilikosa kabisa uelekeo wake mana wanachojadili kinaweza kupinduliwa kibabe na asiwepo wa kuhoji...
Unakumbuka neno "vyuma kukaza" lilianzia awamu ya tano. Sasa hivi halisikiki tena. What sdoes it imply?Ni wapi Polepole, Bashiru na Kabudi waliwahi kutumia nguvu?
Au unamaanisha kuongea kwa makasiriko? Ikiwa jibu ni ndio, vipi kuhusu Lema, Lisu na Sugu...
Hawa watu unajua wana ukwasi kiasi gani sasa? Kama unafikiri enzi ya jiwe kulikuwa hakuna ufisadi, pole sana. How wealthy is Makonda? Polepole? Huu utajiri wamepata wapi?Katika uongozi uliopita kila kitu ilikuwa amri na bunge lilikosa kabisa uelekeo wake mana wanachojadili kinaweza kupinduliwa kibabe na asiwepo wa kuhoji...
Kuanzia namba 1 Hadi Mwenyekiti wa Kijiji wote walikuwa washamba na limbukeni wa madaraka na kukosa exposure.Katika uongozi uliopita kila kitu ilikuwa amri na bunge lilikosa kabisa uelekeo wake mana wanachojadili kinaweza kupinduliwa kibabe na asiwepo wa kuhoji...
Hii nchi ina wehu wengi ikiwemo wewe. Unataka kusema watanzania wote ni kina Mo Dewji siku hizi? Kwamba wote wanahela? Yaani mchele leo kilo moja 3500 halafu unaleta uchawa???????Unakumbuka neno "vyuma kukaza" lilianzia awamu ya tano. Sasa hivi halisikiki tena. What sdoes it imply?
Unangoja nini kuandamanaHii nchi ina wehu wengi ikiwemo wewe. Unataka kusema watanzania wote ni kina Mo Dewji siku hizi? Kwamba wote wanahela? Yaani mchele leo kilo moja 3500 halafu unaleta uchawa???????
Maisha ya watanzania yamezidi kuwa magumu kwa matozo yasiyoisha halafu unasema watu wamekaa kimya kumanisha wanahela????
Hujui waliokuwa wanalalamika na kusema ulichokiandika hapo kuwa ndiyo wanaonufaika na hizo tozo na wanalamba asali ndiyo maana wako kimya?
Jitambue. Nyie ndiyo mnasababisha tudai katiba Mpya!
Either kukosa uzoefu katika siasa au ni uzalendo uliotukuka kiasi kwamba wakuwa wanapata machungu kweli kweli kuona wachumia tumbo wa upinzani wanavyohujumu nchi kwa kushirikiana na mabeberu
Eti mkaingia uchumi wa kati, ilikuwa ni uchumi wa chini wa kati na ndio kipindi vyuma vilikaza na ukosefu mkubwa wa ajira.Ni wapi Polepole, Bashiru na Kabudi waliwahi kutumia nguvu?
Au unamaanisha kuongea kwa makasiriko? Ikiwa jibu ni ndio, vipi kuhusu Lema, Lisu na Sugu...
🤣🤣😂😂🤣🤣😂Walitakiwa Kuwa NdaniHao ni wezi, ili kujikinga wasihojiwe na kuweka hofu, wakaingiza vitisho