Kwanini polisi haimkamati Mwijaku ili kupata undani wa tuhuma nzito dhidi ya Masoud zinazotishia usalama wa nchi?

Kwanini polisi haimkamati Mwijaku ili kupata undani wa tuhuma nzito dhidi ya Masoud zinazotishia usalama wa nchi?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Mwijaku amemtuhumu Masoud Kipanya kuwa "anafanya biashara haramu inayoharibu vijana". Ametoa tuhuma hizi kwa mandishi kwenye kurasa zake za mitandao ya kijamii. Tuhuma hizi ni nzito na zinatishia usalama wa nchi.

Nilitegemea polisi kwa haraka sana wamkamate Mwijaku na kumhoji kwa undani kuhusu tuhuma zake dhidi ya Masoud, ili Masoud akamatwe na kufungulwa mashtaka.

Haina afya kwa polisi kuzichukulia poa hizi tuhuma. Yafaa ijulikane ni biashara gani hiyo yenye kuharibu vijana inayofanywa na Masoud.

Wao waendelee kupelekana mahakamani lkn serikali iwe imechukuwa hatua za haraka ili kulinusuru taifa.

====

Pia soma
 
Mwijaku hawezi kamatwa sababu anamsifia mama. Nchi hii ukimsifia mama unakuwa immuned dhidi ya makosa yeyote yale.

Sana sana Masoud akiendelea kukaza atapigiwa simu na mtu mmoja wa ofisi za juu na kutulizwa. Ataishia kutoa dukuduku lake kwenye vibonzo vyake tu.

Mijitu kama Mwijaku ni aidha kuishika uipe kipondo takatifu au kuirogea mbali iwe kichaa inayokata mauno sokoni.
 
Watamkamata vipi wakati wanasema eti ni kipepeo mweusi? Jamaa huwa linajiamini sana. Liliwahi kugombea uspika, na huenda litatia nia kwenye ubunge uchaguzi mkuu ujao
 
Watamkamata vipi wakati wanasema eti ni kipepeo mweusi? Jamaa huwa linajiamini sana. Liliwahi kugombea uspika, na huenda litatia nia kwenye ubunge uchaguzi mkuu ujao
Idara haiwezi dharaulika kiasi hiko.

Kaliba ile ya 'Burton' anakuwaje mmoja wao?!
Hakuna 'Afisa' anaeweza kuropoka ropoka kama vile, tena ishu za ndani kabisa.
 
Mwijaku ni wa kumteka kama Mo wanamfumua marinda na kumrecord na kumwambia akisema fyoko wanasambaza picha zake.
Hapo asijue ni kosa gani limemfanya apelekewe moto.
Wamfumue mara ngapi? Wavujishe video zake mara ngapi?

Yule jamaa ni chizi fresh, ushawahi kukutana watu ambao hawatukaniki basi ndo wale sasa.
Ukitaka kuwagusa basi uwadiss kwa akili kama alivyofanya kipanya. Ndo wanalipuka na kukasirika.
 
Back
Top Bottom