Kwanini polisi haimkamati Mwijaku ili kupata undani wa tuhuma nzito dhidi ya Masoud zinazotishia usalama wa nchi?

Umewaza Kwa kina sana
 
Watakwambia hawafanyii kazi habari za mitandaoni
 
Chanzo unataka kikamatwe? Kwa hali hiyo si tutavitisha vyanzo vingine kwa taarifa nyeti kama hizo? Labda huyo aliyemtaja ndiye akamatwe ili ajibu tuhuma zake.

Ova
 
Wamfumue mara ngapi? Wavujishe video zake mara ngapi?

Yule jamaa ni chizi fresh, ushawahi kukutana watu ambao hawatukaniki basi ndo wale sasa.
Ukitaka kuwagusa basi uwadiss kwa akili kama alivyofanya kipanya. Ndo wanalipuka na kukasirika.
Haha 😂 nimekuelewa mkuu unamaanisha Wana sifa mbaya. Kiasi kwamba ukiwatukana ni kama vile unawaambia sifa zao halisi
Hawasthiki wala hawakasiriki
 
Chanzo unataka kikamatwe? Kwa hali hiyo si tutavitisha vyanzo vingine kwa taarifa nyeti kama hizo? Labda huyo aliyemtaja ndiye akamatwe ili ajibu tuhuma zake.

Ova
Mbona Chanzo Cha Habari ya mkuu wa mkoa wa simiyu kumlawiti biti wa sauti kimekamatwa ni wiki sasa

Labda ndo muongozo na tafsiri ya kipolisi juu ya Sheria mpya ya whistleblower
 
Idara haiwezi dharaulika kiasi hiko.

Kaliba ile ya 'Burton' anakuwaje mmoja wao?!
Hakuna 'Afisa' anaeweza kuropoka ropoka kama vile, tena ishu za ndani kabisa.
Issue zipi za ndani mkuu
 
Mwijaku inabidi akamatwe na kufungwa kama tuhuma alizotoa dhidi ya Masoud ni za uwongo, machawa kama hawa inabidi washikishwe adabu tu mara moja. Mtu mzima kichwani hovyo na ana Mke huyu dogo ila namtilia mashaka pia mkewe, inakuwaje unakubali kuolewa na mtu kama huyu?
 
First paragraph umemaliza kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…