covid 19
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 6,967
- 17,452
Hilo tukio lina zaidi ya wiki sasa ila sijasikia polisi ikitoa taarifa za kuwafikisha mahakamani watuhumiwa hao zaidi nimesikia mtu mmoja aliyeshikiliwa kwa kosa la kusambaza taarifa za uzushi juu ya binti aliyefanyiwa ukatili huo.
hii kitu haijengi taswira nzuri kwa vyombo vyetu vya usalama na ulinzi nchini.
Huko nyuma pia iliwahi kutolewa shutuma kwa majeshi yetu ya ulinzi wanaolinda amani chini ya munesco wanawabaka wanawake huko congo.
Ni vema serikali ijihepushe na mazingira ya kuwabeba watuhumiwa hawa maana inaharibu taswira ya jeshi na ya nchi kwa ujumla.
hii kitu haijengi taswira nzuri kwa vyombo vyetu vya usalama na ulinzi nchini.
Huko nyuma pia iliwahi kutolewa shutuma kwa majeshi yetu ya ulinzi wanaolinda amani chini ya munesco wanawabaka wanawake huko congo.
Ni vema serikali ijihepushe na mazingira ya kuwabeba watuhumiwa hawa maana inaharibu taswira ya jeshi na ya nchi kwa ujumla.